Nijuavyo mimi watoto wa marais wengi tu duniani(wanaounda first family) hupewa ulinzi na ama polisi,jeshi,secret service ama chombo chochote kinachosimamia usalama wa viongozi kwa nchi husika(ikiwa ni pamoja na kuwa na motorcade yenye escort ya walinzi) so Ridhwan kama mmojawapo wa watoto wanaounda first family ulinzi ni stahili yake...
Wakuu sijui ninyi mtazichukuliaje habari hizi, kwangu mimi naziona ni habari za kusikitisha. Habari kutoka chanzo cha habari cha kuaminika kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mwalimu Nyerere (JNIA), zinasema kuwa kijana, mtoto wa mkulu, Ridhiwan, kaonekana uwanjani hapo, ikisemwa kuwa ana safari yake binafsi, kwenda Dubai.
Nachelea kulia. Naomba nijikaze kiume, kijasiri ili niweze kulisema hili, naomba niwezeshwe, maana sasa nchi inakoelekezwa, aaaagh, basi wahenga na Mungu wanajua...KAPELEKWA UWANJA WA NDEGE NA ESCORT AKIWA KATIKA GARI YA IKULU, lenye ngao na polls mbili lakini HALIKUWA NA BENDERA. Mbele kulikuwa na gari ya escort ya king'ora na nyuma gari ya usalama, so the source said.
Kuna mengine tutayaongeza. Kuna kazi nafanya mara moja wakuu, just kuanzia hiyo. INASKITISHA JAMA, THIS IS EXTREMEEEEEEEEE
Nijuavyo mimi watoto wa marais wengi tu duniani(wanaounda first family) hupewa ulinzi na ama polisi,jeshi,secret service ama chombo chochote kinachosimamia usalama wa viongozi kwa nchi husika(ikiwa ni pamoja na kuwa na motorcade yenye escort ya walinzi) so Ridhwan kama mmojawapo wa watoto wanaounda first family ulinzi ni stahili yake...
Nijuavyo mimi watoto wa marais wengi tu duniani(wanaounda first family) hupewa ulinzi na ama polisi,jeshi,secret service ama chombo chochote kinachosimamia usalama wa viongozi kwa nchi husika(ikiwa ni pamoja na kuwa na motorcade yenye escort ya walinzi) so Ridhwan kama mmojawapo wa watoto wanaounda first family ulinzi ni stahili yake...
wanapewa ulinzi kutokana na threat level...escort ya magari matatu ni no no...mara nyingi wanapewa dereva na mlinzi na gari moja, huyo kikwete ana watoto nane sijui sasa kama wote wanapewa same treament si mzozo huo.
Assume the following:
Je ni haki kutumia magari hayo matatu kwenye msafara wake?
- Habari hii ni sahihi
- Rizwan anastahili kupewa ulinzi kisheria za nchi
Je siku nyingine wakimrusha kwa Helikopita itakuwa ni sahihi?
Inaingia akili kuwa usalama wa Rizwan unatishiwa kiasi hicho?
Huyu mtoa mada sioni kama angetueleza endapo angeona Rizwani akishuka katika gari ya Ikulu ampapo ndani yake kuna wanausalama kwasababu matumizi mabaya ya namna hiyo tumeyazoea. Nenda mashuleni utakuta STKs ndizo zinawapeleka watoto wa wakubwa shule!
REMEMBER
Wrong is wrong even if everybody does it and Right is right even if nobody does it!
Kwangu mie sioni tatizo. Familia ya Rais inahitaji kulindwa. Suala la kupelekwa na escort ya polis na usalama ni jambo ambalo siyo tatizo kubwa. Maana ukiwa Rais, unaongeza idadi ya maadui. Ukilindwa wewe tu, adui zako watakukosa na wakimpata mke au mtoto, hasira yao huishia hapo. Hivyo, maadam Rais wetu alishapewa Ukuu na Tume Feki ya Uchaguzi, basi hatuna budi kukubali na hayo!! Hofu yangu ni kutumia Gari lenye Nembo ya Ikulu.
Kulikuwa na taarifa za kiintelijensia zikionesha kuwa angedhurika na hivyo Mkuu wa nchi angeathirika kisaikolojia na kuacha kushughulikia matatizo ya wananchi hivyo kuagiza yafanyike uliyoyaona mkuu. LOL.
Wivu wa kijinga huuu........ Ridhwan sio mtoto wa mkulima ni mtoto wa Rais wa nchi. Kwa hili umechemka.