Don Calvino
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 113
- 29
Wewe Sekulu acha kuponda watu,wewe si ndugu yake richard na ndiye ulikuwa unakaa kwenye nyumba yao dar kwenye nyumba ya kona 'kwa wajanja',ukapata bahati kwenda marekani miaka ya tisini hujarudi hata kusalimia,juzi kati si ulioa,sio wewe? Maana ninayemsema anaitwa Sekulu.
Mwenzie Mwisho Mwampamba yupo moro anauza nyago na Ngedere na kucheza pool kwenye cafeteria ya SUA. Huku akigongea Gari za familia yake na huku akiacha baba yake anatembelea Baiskeli!