Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
Baada ya kuona maisha ya DSM yanamzingua hasa baada ya kujaribu kila fani kuanzia kwenye muvi hadi mziki na kuona hakulipi, yule bingwa wa mapilau toka Big Brother Africa, Richard hivi sasa amekimbilia Moshi.
Rich ameonekana viwanja mbalimbali Moshi akiwa na wazungu wake huku wakilana denda hadharani.
Richard anakumbukwa sana kwa kazi kubwa aliyoipiga ndani ya mjengo wa BBA.
Rich ameonekana viwanja mbalimbali Moshi akiwa na wazungu wake huku wakilana denda hadharani.
Richard anakumbukwa sana kwa kazi kubwa aliyoipiga ndani ya mjengo wa BBA.