Richard Kasesera Mwenyekiti Bodi ya Madini, Anazo sifa Stahiki??

Huyu jamaa alipata kismati cha kufahamiana na Jk wakati yuko mlimani pale.. Baadae JK alimunganishia safari ya kwenda kama ciyo Japan then ilikuwa South Korea.. Akarudi na kagari kake ka kwanza.. So toka hapo amekuwa ni mtu wa JK.. Na wala hana cifa za ukada.. Mara nyingi JK akisafiri na haswa akienda Marekani mara nyingi au anaongozana nae au jamaa anatangulia.. Kwa hiyo hapo alipo anafaidi matunda kwa uswahiba wake tu na JK..
 
Kama ilivyo katika uteuzi wa mabalozi ndivyo inavyojitokeza katika nyanja zingine katika nchi yetu. Sifa kubwa si uwezo katika nyanja husika, badala yake ni namna gani unaweza kujikomba kwa wakubwa. Hali hii hudhalilisha taaluma za watu, tunaishia kuongozwa na vilaza mbumbumbu mzungu wa reli!
 
Ahsante sana Makene.
Nadhani unaweza kumalizia hapo ulipoishia ili tumfahamu vizuri, hasa huo utafiti aliowafanyia magamba.
Ningependa kufahamu juu ya mambo ya kishenzi aliyoshauri yanayodidimiza demokrasia.
 
amesomea marketing mlimani..yeye na madini wapi na wapi jamani..najuta kuzaliwa inji hiii

Usijute kaka...nafahamu kuwa tayari u sehemu ya mabadiliko...komaa na mabadiliko hayo ili kuleta tofauti ambayo wananchi wengi tunaihitaji...
 
Anatumika huyo, kiujumla ni kwamba hafai maana ni mtu wa kujikomba kwa mafisadi-magamba. Ana mpango wa kugombea ubunge Rungwe magharibi 2015. Hafai kabisa huyu jamaa.
 
Ahsante sana Makene.
Nadhani unaweza kumalizia hapo ulipoishia ili tumfahamu vizuri, hasa huo utafiti aliowafanyia magamba.
Ningependa kufahamu juu ya mambo ya kishenzi aliyoshauri yanayodidimiza demokrasia.

Tehe tehe tehe, haya bwana, nakumegea kiduchu kwa leo, ok! Siri yako tu mkuu.

"Ili kufanikisha malengo yote hayo, ni lazima kikosi kazi hicho kiratibu mkakati wa kiintelijensia utakaotumika kuinua chama cha siasa kidhaifu na papo hapo kuzorotesha chema chenye nguvu kwa kutumia makada na wana mtandao watakaokuwa wamepandikizwa ndani ya vyama vya upinzani," inasema sehemu ya taarifa hiyo ya huyu jamaa.



Taarifa hiyo ambayo tayari imeanza kufanyiwa kazi inaelekeza kikosi kazi kutumia intelijensia kuandaa majina na orodha ya majina ya wanasiasa wenye umaarufu au watakaokuwa maarufu sasa hadi kufikia mwaka 2013-2014 ambapo propaganda chafu zitafanyika kuvuruga umaarufu wa wale wa upinzani huku umaarufu wenye upendeleo ukivumishwa kwa wale wa CCM.

Yapo mapendekezo makali sana. Lakini kwa sasa hiyo vipi inakutosha, need more kaka...?
 
Ahsante sana Makene.
Nadhani unaweza kumalizia hapo ulipoishia ili tumfahamu vizuri, hasa huo utafiti aliowafanyia magamba.
Ningependa kufahamu juu ya mambo ya kishenzi aliyoshauri yanayodidimiza demokrasia.

Tehe tehe tehe, haya bwana, nakumegea kiduchu kwa leo, ok! Siri yako tu mkuu.

"Ili kufanikisha malengo yote hayo, ni lazima kikosi kazi hicho kiratibu mkakati wa kiintelijensia utakaotumika kuinua chama cha siasa kidhaifu na papo hapo kuzorotesha chema chenye nguvu kwa kutumia makada na wana mtandao watakaokuwa wamepandikizwa ndani ya vyama vya upinzani," inasema sehemu ya taarifa hiyo ya huyu jamaa.

Taarifa hiyo ambayo tayari imeanza kufanyiwa kazi inaelekeza kikosi kazi kutumia intelijensia kuandaa majina na orodha ya majina ya wanasiasa wenye umaarufu au watakaokuwa maarufu sasa hadi kufikia mwaka 2013-2014 ambapo propaganda chafu zitafanyika kuvuruga umaarufu wa wale wa upinzani huku umaarufu wenye upendeleo ukivumishwa kwa wale wa CCM.

Yapo mapendekezo makali sana. Lakini kwa sasa hiyo vipi inakutosha, need more kaka...?
 
Huki stahajabu ya Musa unataona ya firauni....huyu all the way kutoka kwenye shughuli za Ukimwi mpaka madini?au mambo ya uswaiba?
Amepewa chance ya kuongea kama mwenyekiti wa hiyo bodi kapiga nje mbaya......hivi tunaipeleka wapi hii nchi?
Huyu jamaa anajua kujipanga alipiga deal za issue za ukimwi kupitia kampuni yake inayojulikana kwa jina la ABC alikuwa na connection ya TACAIDS coz wife wake alikuwa pale duh!TACAIDS Wamefulia karukia kwenye madini?
Wanabodi connect the dot....huyu jamaa wakati wa msiba wa mtoto wa mzee mwapachu yeye ndiye alikuwa msemaji wa familia nakumbua hiyo issue lililetwa hapa na akajakujitetea.Je hii ndiyo asante ya mwapachu kwake?
Mungu wangu hii nchi inakwenda wapi huyu jamaa ni mpenda vijisenti mwisho,waulize waliofanya nae pale TMARC,yeye anawaza dili tu ,sasa kweli huyu kweli ana ujasiri wa kusema NO kwa mapapa wa kimataifa wanaojishughulisha na madini,lalaa watu wanapenda pesa lakini kwa huyu jamaa hana mfano,jamaa wa kujipendekeza sana,kila mkulu anakokuwa naye hufuata mara kwenye mpira wa kikapu (mkulu amewahi kuwa mlezi wa mchezo huo).Hapo ni porojo tupu ,hivi jamani usalama wa taifa kazi yao nini,je hapo zamani sio ndio walikuwa wanakusanya data kabla ya mtu kupewa cheo?hakika hapo ndio umuhimu wa katiba mpya unaonekana,watu wa hovyo ndio wanapewa nafasi nyeti,wapi tunaenda,HII NI AIBU
 
This is ridiculous. To be chairman of a board you need to be a person with experience and maturity that the young man hasn’t started to gain. Chairman of the board as guardian of policies which establish the sector/institution plays a role of "nurturing" something this young man can’t even understand its meaning.
 
Ndiye aliyewafanyia utafiti magamba kisha akaja na ile proposal ya kufanya REBRANDING yaani PARTY REBRANDING kama yanavyofanya makampuni yanayokufa. Katika dossier hiyo ambayo chama hicho kinakiri kuwa kimekufa na kimepoteza kabisa mashiko kwa Watanzania, Jamaa huyu anapendekeza mambo mengi sana kufanyika, mengine kwa siri na mengine kwa wazi, kudhibiti ukuaji wa demokrasia hasa kwa kudhibiti vyama vya upinzani, hasa CHADEMA ambacho katika ripoti yake anakiri kuwa tishio kwa CCM.

Ukisoma SWOT analysis yake utajua nini namaanisha hapa. Baadhi ya vitu ambavyo vimeshauriwa kwenye dossier ambayo anasema aliifanyia utafiti, tayari vimeanza kutekelezwa mathalan kuwafukuza na kuwatisha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, hasa vya umma, wale ambao wanaoikosoa serikali na CCM. Need more...


Kwa hiyo huyu ni mmoja wa ma-strategists wa CCM? No wonder the party is heading south!
 
Jirani kakaribishwa uani......kwani hamuelewi kuwa hata hiyo imechelewa sana....?
 
Ili jamaha ni j***a la kufa mtu,pale kwy mdahalo lilikua linazomewa na watu wote kwa pumba zake lilizokua linaongea,jitu lina mwili mkubwa lakini j***a,watu walilitunga jina kua ni kubwa ***ga !kweli ****** mtu wa ajabu sana,yaani kaona muda wake umebaki mchache basi ampe nafasi ili ujilie kwa kila anaejipendekeza kwake au kwa chama cha magamba!kazi kweli kweli
 
Hizi ni fadhila za JK kwa baba yake na Richard mzee kasesela ambaye kwa muda mrefu sana alikuwa kamishna wa madini wakati JK alipoingia wizara ya nishati na madini enzi zile..ndipo ukaribu wao ulupoanzia na toka hapo wamekuwa family friends na jamaa huwa anatumwa hata hospitali kuwapeleka wadogo zake kina mwanaasha kupata matibabu.
 
Back
Top Bottom