RFA mnakera mnafikiri WANANCHI hawajui kinachoendelea kati ya CCM na CDM

KAMP2015

JF-Expert Member
May 27, 2013
281
69
Jana asubuhi katika kipindi cha magazeti mtangazaji alisoma maoni ya mhariri yanayohusu kukamatwa kwa Msigwa na Kasulumbayi kwamba wamefanya vurugu.

Na leo pia katika kipindi hicho hicho kafanya hivo kwa kusoma maoni katika katika gazeti la Mtanzania mhariri akiwaponda wabunge wa CHADEMA waliokamatwa.

Kama hiyo haitoshi leo katika kipindi cha MATUKIO ikaripotiwa habari ya wanachama wa CCM waliojeruhiwa wakiwa hospitalini lakini cha kilichonishangaza ni pale watangazaji walipoanza kuikoleza hii habari kwa kuunga mkono kauli ya mwenyeketi wa CCM-Shinyanga ili kuisafisha CCM na kuiharibu taswira ya CHADEMA.

Maswali yangu kwa RFA:
1. Hamkuona Machemli na Kiwia (wabungu wa CHADEMA) hapo mwanza walipokatwa mapanga? Mbona hamkufanya hivo?
2. kule arusha bomu lilirushwa mkutanoni (CHADEMA) lakini hamkwenda Mount meru wala Seliani?
3. Aliuawa Masud Mbwana huko Igunga kwenye kampeni, lakini ninyi mnaona vurugu akiumia wa CCM?

Maoni yangu:
Ni bora mkafanye kazi za CCM kuliko kuwa chombo cha habari bila kuwa biased kuliko kueneza propaganda chafu dhidi ya CHADEMA.

Kupitia RFA Mgeja anasema vyama vingine vinashindana kwa hoja, sasa mimi naona chama kizuri kwa CCM ni ambacho hakina nguvu. Tunakumbuka NCCR na CUF walivopakaziwa uchafu wa kila aina lakini leo Mgeja anasema ni vya kistaarabu?

Kama RFA mnaona propaganda zina msaada mbona Anton Diallo mwenye redio hamkuweza kumnusuru 2010?

Mwisho kabisa nasema endeleeni kutumika ila tutawaonyesha njia.
 
Mkuu usijipe pressure bure ulitegemea RFA chombo cha mwenyekiti wa CCM mkoa wa mwanza ulio chini ya CDM, wana hasira mbaya lazima waponde tu, lakini watanzania wanaelewa kila kinachoendelea
 
Ungeiongelea na ITV/RADIO One wanavyorusha Matangazo ya chama Chao cha kaskazini muda mrefu!

Usishangae mkuu Star TV na RFA inamilikiwa na kada WA CCM

Kila kwamba ngoma ngozi huvutia kwake.
 
Unataka kutuaminisha kuwa CHADEMA wamehusika moja kwa moja na matukio hayo,ila tatizo la RFA ni kuwa hawakuripoti yale ya akina KIWIA?. Mabomu ya ARUSHA mbona inafahamika ilikuwa ni mipango ya CHADEMA ili kujipatia umaarufu? Unaongelea Igunga ambako mfuasi wa CCM alimwagiwa tindikali na wafuasi wa CHADEMA?

Tusipoangalia CHADEMA watapoteza maisha ya watanzania wengi sana endapo tutaendekeza kuwashabikia na kuwatetea kijinga kiasi hiki.
 
Binafsi sikushangaa kwa kuwa kati ya watangazaji waliondesha mjadala huo leo asubuhi ni somebody Azaria ambaye ni mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM mkoa wa GEITA huyu hata kama ni mwandishi hawezi kubalance anaongozwa na utashi wa kisiasa.
 
Hicho chombo cha habari cha ccm tena vipo vingi na waandishi chumia tumbo wasio penda leta amani.watanzania tujihadhari na hao vibaraka
 
Hata mimi nimeliona hilo. wapo biased sana. Anyway, Dialo ni mwana ccm. kwahiyo si ajabu sana. pengine bado ana tumaini la kurudishwa ktk uongozi wa juu sirikalini.
 
Mkuu usijipe pressure bure ulitegemea RFA chombo cha mwenyekiti wa CCM mkoa wa mwanza ulio chini ya CDM, wana hasira mbaya lazima waponde tu, lakini watanzania wanaelewa kila kinachoendelea

Nadhani issue siyo chombo cha Mwenyekiti wa CCM, issue hapa ni habari zilizoripotiwa n la kweli au la? inaonesha ni jinsi gani Tabia za magazeti ya Tanzania Daima la MBOWE na ----- la ANTONY KOMU yalivyowaathiri na kuandika habari zinazoinanga serikali na CCM. RFA na STAR TV ni vyombo ambavyo waandishi wake wanajitahidi sana kuandika habri bila kuegemea upande wowote.
 
Hata mimi nimeliona hilo. wapo biased sana. Anyway, Dialo ni mwana ccm. kwahiyo si ajabu sana. pengine bado ana tumaini la kurudishwa ktk uongozi wa juu sirikalini.

TANZANIA DAIMA limewaathiri sana.
 
Hicho chombo cha habari cha ccm tena vipo vingi na waandishi chumia tumbo wasio penda leta amani.watanzania tujihadhari na hao vibaraka

Kweli mkuki kwa nguruwe , kwa binadamu mchungu, hivi utumbo unaoandikwa na Tanzania Daima la MBOWE na ----- la ANTONY KOMU hamuuoni?
 
Haya maneno ungeyasema pia kwenye vyombo kama TANZANIA DAIMA, MAWlO na NIPASHE.
 
Nshaacha kulalamika kuhusu vyombo vya habari kushabikia siasa za CCM, ninalolifanya is just to switch off the station na kutafuta nyengine. Sitaki stress za siasa mimi!!!!
 
unataka kutuaminisha kuwa chadema wamehusika moja kwa moja na matukio hayo,ila tatizo la rfa ni kuwa hawakuripoti yale ya akina kiwia?. Mabomu ya arusha mbona ina fahamika ilikuwa ni mipango ya chadema ili kujipatia umaarufu? Unaongelea igunga ambako mfuasi wa ccm alimwagiwa tindikali na wafuasi wa chadema?

Tusipoangalia chadema watapoteza maisha ya watanzania wengi sana endapo tutaendekeza kuwashabikia na kuwatetea kijinga kiasi hiki.

nawewe unaweza sema unautimamu wa fikra? Kuishi na mtu mwenye mawazo kama yako ni hatari na mzigo kama ccm na mawaziri wako. Ubadilike kwakweli
 
Binafsi sikushangaa kwa kuwa kati ya watangazaji waliondesha mjadala huo leo asubuhi ni somebody Azaria ambaye ni mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM mkoa wa GEITA huyu hata kama ni mwandishi hawezi kubalance anaongozwa na utashi wa kisiasa.

ndo mjue kuwa kinachofanywa na ITV/TANZANIA DAIMA/MAWlO ni kero sana kwa wapenda amani ya nchi hii.
 
Dialo amepiga magoti kwa CCM hana pa kwenda kwa hiyo lazima RFA, Star TV watangaze habari za Chama cha Mizigo.
In short amewekwa MFUKONI na Mizigo.
 
Unataka kutuaminisha kuwa CHADEMA wamehusika moja kwa moja na matukio hayo,ila tatizo la RFA ni kuwa hawakuripoti yale ya akina KIWIA?. Mabomu ya ARUSHA mbona ina fahamika ilikuwa ni mipango ya CHADEMA ili kujipatia umaarufu? Unaongelea Igunga ambako mfuasi wa CCM alimwagiwa tindikali na wafuasi wa CHADEMA?

tusipoangalia CHADEMA watapoteza maisha ya watanzania wengi sana endapo tutaendekeza kuwashabikia na kuwatetea kijinga kiasi hiki.

Ninatamani sana pale panapotokea vurugu na watu kupoteza maisha,,,watu wa jamii ya aina yako ndio wapoteze maisha.

Unajua kua senge sio lazima uwe unapumuliwa kisogoni km wewe,lakini hata tu tabia ya kutunisha makalio kama unavyofanya wewe ni Us..en.ge pia!

Anachozungumzia mleta mada ni kitu ambacho hata mtu mwenye uwezo mdogo katika kufikiri km Wassira,bado anaweza kuelewa!
Arusha wafuasi wa Chadema wapo Hospital kwa kukatwa mapanga na wanachama wa Ccm,nbona hiyo Radio Free Afrika haikwenda kuwahoji?

Mbona mwaka jana wakati wabunge wa Chadema walipokatwa kwa mapanga hii Radio ya Kis..n.ge haikuwahoji?

Tunajua kwa vyovyote vile Radio Free Afrika na Star tv,ni vyombo vinavyomilikiwa na Mafisadi hivyo lazima ijitahidi kuichafua Chadema na kujaribu kuipamba Ccm ili kuionyesha jamii kwamba Cdm ni chama cha fujo ila Ccm ni chama cha Amani!

Mbona Radio Free Afrika wakati wa Opereshen tokomeza iliyoendeshwa na serikali ya Ccm,haikuwahi kuwatemelea,Wajane,Yatima na Wahanga wa Opereshen hiyo km wale waliounguzwa makalio ili kuwahoji kwamba tukio zima lilikuaje??

Mtahangaika sana na CDM lakini mwisho wa siku inaendelea tu kupasua anga km fight jet!
Chadema ni mpango wa Mungu,kushindana nayo ni sawa na kushindana na Mungu km ilivyokua kwa Musa na Wana wa Israel!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!!!
 
Back
Top Bottom