BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
- Thread starter
- #41
Ile topic ingekuwa kwa kiswahili sipati picha!!!!mineno ya kiswahili inatisha bana!!!neno dogo tu uchi!!!linasisinua je hayo mengine!mshedede,tigo,mikasi,ki bean.....ndo mwalimu angekuwa anayataja kwa kiswahili fasaha!
shule ya msingi wanatakiwa kujifunza kwa kiswahili...nadhan wanapotezeaga walim..