Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
kama huzitaki hizo kelele mbona umeenda kuishi karibu na msikiti? why dont you just shift. mimi hizo kelele ndo zinaniamsha kuja kwa ofisi meeen!
Unawezaje ku-justify kelele eti kwa sababu zinakuamsha asubuhi?! Kama unataka kuamshwa asubuhi nunua saa au simu yenye alarm.lolz