futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Habari zenu wadau.... Nahitaji msaada wenu
Nataka kufungua internet cafe sasa nipo kwenye njia panda. Kuna SASATEL & TTCL.
Ni ipi kati ya hawa providers wana cheap, reliable & speedy internet connection?
Msaada wenu wa mawazo ni wa muhimu.
Natanguliza shukrani!
Nataka kufungua internet cafe sasa nipo kwenye njia panda. Kuna SASATEL & TTCL.
Ni ipi kati ya hawa providers wana cheap, reliable & speedy internet connection?
Msaada wenu wa mawazo ni wa muhimu.
Natanguliza shukrani!