Refund through MasterCard credit card

Polisi

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,082
640
Hello
Nimerudishiwa chenji na amazon kupitia MasterCard credit card yangu. Je zitaingia kwenye account yangu? Au niwape account # yangu?
 
It can take up to 30 days ukiangalia statement yako utaona kuna credit balance lakini itakua bado uncleared thats y balance haijaongezeka mkuu. Just chill mtu mzima.
Ha ha ha ha ha Banian Mzuri kiatu chake dawa
 
Last edited by a moderator:
It can take up to 30 days ukiangalia statement yako utaona kuna credit balance lakini itakua bado uncleared thats y balance haijaongezeka mkuu. Just chill mtu mzima.
Ha ha ha ha ha Banian Mzuri kiatu chake dawa
 
Last edited by a moderator:
Okay. Ngoja niwaandikie maana wiki sasa sijaiona

Mkuu nenda benki yako ambayo wamekupa hiyo Master Card. Print hiyo barua nenda nayo kama ushahidi then wataichukua wakaifanyie kazi. Usitegemee ziingie automatically, hazitaingia. Ila tegemea pesa kidogo kuliko hiyo waliokwambia itaingia.

Mi nilirudishiwa 1200000 ila kwenye akaunt wakaniwekea 730000 nilidata.
 
Mkuu nenda benki yako ambayo wamekupa hiyo Master Card. Print hiyo barua nenda nayo kama ushahidi then wataichukua wakaifanyie kazi. Usitegemee ziingie automatically, hazitaingia. Ila tegemea pesa kidogo kuliko hiyo waliokwambia itaingia.

Mi nilirudishiwa 1200000 ila kwenye akaunt wakaniwekea 730000 nilidata.

Kwa hiyo 84,000 nitegemee kama 50,000? Hi I hasara
 
Kwa hiyo 84,000 nitegemee kama 50,000? Hi I hasara

Tatizo nafikiri huwa ni exchange rates. Benki nyingi huuza dola Kwa bei kubwa kuliko ya soko na kununua Kwa bei ya chini kuliko sokoni. Yaani unaponunua bidhaa nje na una Tshs account unatumia shs nyingi kupata dola kuliko sokoni. Hiyo dola inaporudi unapata shs chache kuliko ungebadilisha nje ya benki
 
Tatizo nafikiri huwa ni exchange rates. Benki nyingi huuza dola Kwa bei kubwa kuliko ya soko na kununua Kwa bei ya chini kuliko sokoni. Yaani unaponunua bidhaa nje na una Tshs account unatumia shs nyingi kupata dola kuliko sokoni. Hiyo dola inaporudi unapata shs chache kuliko ungebadilisha nje ya benki
  • Hapa ndipo unakuja umuhimu wa account maalumu katika USD badala ya TSH iwapo unafanya manunuzi mara kwa mara kwenye mtandao.
 
Back
Top Bottom