Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
bora wangeulizwa kwenye kura ya maoni
Lakini sisi wapemba pia tunataka kisiwa chetu hatutaki kutawaliwa na waunguja daima.....
Tunaomba katika referendum hiyo watuulize wapemba kama tunataka kubaki na waunguja
bora wangeulizwa kwenye kura ya maoni
Mweleze kuwa Quebec walitaka kujitenga kutoka Canada na mwisho wa siku suala hilo likapelekwa kwa wananchi waamue
"Tungejua kama hali ya aina hii itajitokeza, basi tungeanza na kura ya maoni, tungewauliza wananchi kama wanautaka muungano na kama ndiyo, basi uwe wa aina gani au serikali ngapi, mtu angesema moja, mbili, tatu na kadhalika," alisema Pinda jana kwenye Viwanja vya Bunge mjini hapa.
unatupa mawe ukiwa pemba au bara? aha nauliza tu
Lakini sisi wapemba pia tunataka kisiwa chetu hatutaki kutawaliwa na waunguja daima.....
Tunaomba katika referendum hiyo watuulize wapemba kama tunataka kubaki na waunguja
Wazej wakifika Dodoma huwa wananywea kuliko maelezo!Let's us go, zanzibar huru, ukoloni basi.
Can you tell me of one single union in history where citizens were consulted before consumating the union? In history?
- No-one can say definitely how the oil money would be divvied up, because it depends whether you draw the line into the territorial waters horizontally, diagonally, or with a gigantic spirograph machine;
- No-one can say how Union's national debt would be allocated, because there is no obviously right answer. Zanzibar could in principle argue that none of the national debt incurred by a profligate Magogoni administration should fall on a new political entity in the Isles. Conversely, if Zanzibar took its share of the national debt pro rata to population of the current TZ, that would cripple its economy at the outset;
- Know one knows how defence and foreign policy would be managed, we'd have to make it up as we go along.
It follows that there is no easy answer to the question of whether ZNZ or 'rump Mainland' would be better off after dissolution of the Union, so we may as well take a view based on our blind prejudices. My own blind prejudice is that in any financial negotiation with Multilateral lending agencies, any coming Tz President (during the Union breakup ) will get his bum kicked big-time.