Referendum for Zanzibar Independence

Kwa hiyo tuwachie wanasiasa watuamulie aina ya muungano unaotakiwa kwa kuogopa kuwa na bad precedent?

So far tayari tunaona precedents wanazojaribu ku-set huko kwenye "Bunge la Katiba".

Kama ni kweli wananchi walipendekeza kuwa na serikali tatu, then ni sawa kuepuka ku-set bad precedent kwa kuwaachia wanasiasa kuja na mapendekezo yao kuwa na serikali mbili na mabunge matatu (kama kweli hizo fununu ni za kweli)?

Mweleze kuwa Quebec walitaka kujitenga kutoka Canada na mwisho wa siku suala hilo likapelekwa kwa wananchi waamue
 
Mueka mada naomba utuwekee na picha ya mtanganyika akiiwakilisha tanganyika huko UN.
 
Mweleze kuwa Quebec walitaka kujitenga kutoka Canada na mwisho wa siku suala hilo likapelekwa kwa wananchi waamue
Rafiki yangu AL SHARPTON, Quebec ni jimbo la Canada. It is not a Nation and all the temper tantrums in the world will not change that legal fact. Njia pekee waliyo nayo kama wanataka kujitenga ni kwa kutumia nguvu, je wanao ubavu? Hiyo ya kura ya maoni eti wajitenge ni sawa tu na kelele za chura kisimani!
 
Last edited by a moderator:
Rafiki yangu AL SHARPTON, Quebec ni jimbo la Canada. It is not a Nation and all the temper tantrums in the world will not change that legal fact. Njia pekee waliyo nayo kama wanataka kujitenga ni kwa kutumia nguvu, je wanao ubavu? Hiyo ya kura ya maoni eti wajitenge ni sawa tu na kelele za chura kisimani!

Mkuu wananchi wa Quebec waliokuwa wanataka cessation wangeshinda kwa kura nyingi leo hii kungekuwa na republic of Quebec
 
Last edited by a moderator:
It is not about oil and gas, it is about blacks and whites, Zanzibar is geographically Tanganyika just like Kigoma na Ukerewe
 
Lakini sisi wapemba pia tunataka kisiwa chetu hatutaki kutawaliwa na waunguja daima.....

Tunaomba katika referendum hiyo watuulize wapemba kama tunataka kubaki na waunguja

ww sio mpemba, ww ni ha..ra..mu ya kipemba
 
attachment.php



We supported Biafra (under Nyerere) Southern Sudan, East Timor, Kosovo for self determinationFrom Zanzibar owned forums the only thing they are talking about is how they would free themselves from the shackels of the mainlandIt might not be the next 5 or 10 years but lets not fool ourselves, this Union was never there in the first place, citizens from both countries were never consulted, no one knows the articles and memorandum of the Union, Mainlanders are fed up of top up Zanzibaris Income Support, Zanzibaris are fed up with the medling from the mainland, Its a marriage that has reached reached its end and funny enough the young Zanzibaris and Mainlanders are fed up with politicians not being upfront with them on this matter, only few have dared to speak the unspeakable...former President Aboud Jumbe, Professor Haroub Otham, Professor Issa Shivji and one and only Tindu Lisu of CHADEMAYoung Zanzibaris do not trust the current CUF and CCM leadership (Maalim Seif and his CCM Cronies) to deliver them Independence I think there is always a way out of the Union...maybe free and fair referendum on the subject.Can we discuss this issue (referendum without patronizing mainlanders or Zanzibaris) in JF Style of (matured and Great thinkers manner)?

Cc Simiyu Yetu
 
Can you tell me of one single union in history where citizens were consulted before consumating the union? In history?

Eu,switzerland,na imendelea kudumu.
Zile ambazo wananchi hawakuulizwa kama huu wetu union hizo zote zimesambaratika mfano USSR,Yugoslavakia,Checkoslovakia,
 
Eu,switzerland,na imendelea kudumu.
Zile ambazo wananchi hawakuulizwa kama huu wetu union hizo zote zimesambaratika mfano USSR,Yugoslavakia,Checkoslovakia,
EU is recent. If we were uniting with Zanzibar today that WOULD apply. Go back in history.
 
Tanzania iwe nchi moja au Zanzibar ipewe mamlaka kamili ...hoja nyinginezo itabaki kuwa porojo tu ...
 
Lakini sisi wapemba pia tunataka kisiwa chetu hatutaki kutawaliwa na waunguja daima.....

Tunaomba katika referendum hiyo watuulize wapemba kama tunataka kubaki na waunguja

Kumbe hakuna Zanzibar??? Kweli wahenga walinena.
 
Msipindishe maudhui ya kura ya maoni maana tumechoka kutawaliwa na Wakavirondo
 
surely, kama wanataka self determination I cant see anything wrong with that.

wapewe referendum to decide their fate
 
Kwa kweli sijui kwanini viongozi wetu wanaendelea kuvumilia kejeli hizi za Zanzibar. Hata leo ningetamani waishie zao kwa kweli. Lakini wawe tayari kukubali pia maamuzi ya Tanganyika tutakapofunga mipaka na kuwataka waondoke mara moja na wafuate taratibu wanazifuata wageni wengine wanapoingia Tanganyika ikiwa ni pamoja na uwekezaji na umiliki wa ardhi na kusoma Tanganyika. Wangalijua hasira za wabara wasingeedelea na mzaha huu. Kwanza kata umeme mpaka deni lote lilipwe. Halafu funga luku walupe kwanza ndo wapewe umeme. Viazi na nbogamboga kwa dola nk
 
kwa kweli sijui kwanini viongozi wetu wanaendelea kuvumilia kejeli hizi za zanzibar. Hata leo ningetamani waishie zao kwa kweli. Lakini wawe tayari kukubali pia maamuzi ya tanganyika tutakapofunga mipaka na kuwataka waondoke mara moja na wafuate taratibu wanazifuata wageni wengine wanapoingia tanganyika ikiwa ni pamoja na uwekezaji na umiliki wa ardhi na kusoma tanganyika. Wangalijua hasira za wabara wasingeedelea na mzaha huu. Kwanza kata umeme mpaka deni lote lilipwe. Halafu funga luku walupe kwanza ndo wapewe umeme. Viazi na nbogamboga kwa dola nk

hivyo unakubali kwepo hiyo referendum?
 
Back
Top Bottom