mpiganaji jm
Member
- Feb 9, 2011
- 76
- 2
tz kwa movie ni noma sijui steling atakuwa nani wakati huu na production itakuwa ya nani cz iliyopita producer alijitahidi hadi akaleta washiriki kutoka kenya si juii hii na ni atakuwa guest steling
Mods unganisheni hizi threas please
mwangos tulikuwa nae mara nyingi kwenye mikutano ya chadema na hapa iringa mjini anaheshimika na kupendwa na kila rika........wendawazimu wanaangaika...kama walivyofanya kwa ulimboka kumleta kichaa mkenya ili hawachomoki...bomu limemuua
WAMESEMA 32 WAMEKAMATWA KWENYE BASI WAKITOKA IRINGA KWENDA MBEYA 'WALIKOENDA KUFANYA VURUGU'! NA WENGINE 7 WAKO NDANI TANGU JANA, JUMLA 39 KWA MUJIBU WA BW SENZO AMBAYE NI MSEMAJI WA JESHI LA POLIccm..
Redio DW BON, imeripoti kuwa JEshi la polisi limewakamata watu 32 waliokuwa wakiend Mbeya kwenda kufanya vurugu, wakitokea Iringa. Pia Kuna watu waliokamatwa kuhusiana na kifo cha Daudi Mwangosi. Msemaji wa Polisi ameulizwa kuhusu kilichomuua Mwangosi, JIBU: Inasemekana anepigwa na kitu ambacho mpaka sasa hakijafahamika bado mpaka uchunguzi ufanyike
usipoangalia polisi hawakawii kusema marehemu Mwangosi alijiua mwenyewe
tz kwa movie ni noma sijui steling atakuwa nani wakati huu na production itakuwa ya nani cz iliyopita producer alijitahidi hadi akaleta washiriki kutoka kenya si juii hii na ni atakuwa guest steling
hakika hawa policeccm waniniboa sanaMAWAZO NILIYONAYO MUNGU ANIZUIE... VITU VINGINE VINATIA HASIRA SANA JAMANI. TUMECHOKA SASA.. Enough is enough!!
Mm naanza lipolisi lizee nakaa nalo jirani hata na manati nalitoboa macho yanakera.