Real Estate business?

Kupangisha si inachukua muda mrefu kurudisha pea?
Investment ya nyumba return yake ni ya muda mrefu, usitarajie pesa yako uliowekeza itarudi mapema halafu uanze kula faida. Hata mashirika kama nsssf hayo maghorofa wanajenga ya bei mbaya huwa wanapiga hesabu za mbali sana kwenye return ya investment na kuanza kula profit.

Nina rafiki yangu yupo mombasa bado kijana tu ila anamiliki nyumba saba ambazo zimekamilika na zote zimejaa wapangaji. Kwa mwezi anakusanya kama m5 ya tz Kwa sababu rent ipo Chini na pia viwanja na gharama za ujenzi zipo Chini sio kama Nairobi.

Nimejifunza kitu kimoja kwake kuwa sekta ya nyumba ni stress free business na pesa yake haina msimu, pia kila siku watu wana hamia mijini na watahitaji makazi. Kwa kile kidogo ulichonacho utaweza anza taratibu. Kama wewe ni mfanyabiashara biashara usimege pesa yako ya mtaji kujenga nyumba kwani utafilisika bali tumia pesa ambayo haita athiri biashara yako kabisa kujengea.
 
Investment ya nyumba return yake ni ya muda mrefu, usitarajie pesa yako uliowekeza itarudi mapema halafu uanze kula faida. Hata mashirika kama nsssf hayo maghorofa wanajenga ya bei mbaya huwa wanapiga hesabu za mbali sana kwenye return ya investment na kuanza kula profit.

Nina rafiki yangu yupo mombasa bado kijana tu ila anamiliki nyumba saba ambazo zimekamilika na zote zimejaa wapangaji. Kwa mwezi anakusanya kama m5 ya tz Kwa sababu rent ipo Chini na pia viwanja na gharama za ujenzi zipo Chini sio kama Nairobi.

Nimejifunza kitu kimoja kwake kuwa sekta ya nyumba ni stress free business na pesa yake haina msimu, pia kila siku watu wana hamia mijini na watahitaji makazi. Kwa kile kidogo ulichonacho utaweza anza taratibu. Kama wewe ni mfanyabiashara biashara usimege pesa yako ya mtaji kujenga nyumba kwani utafilisika bali tumia pesa ambayo haita athiri biashara yako kabisa kujengea.
Return inapokuwa slow ina athari gani kwenye ukuaji wa biashara
 
Hii sector inahitaji akili zaidi kuliko pesa. Akili ya kuangalia value ya kiwanja, nyumba au frem ya biashara kwa miaka kama mitano au kumi ijayo.

Real estate ya Tanzania awali ya yote usiifanye ki proffessional sana. Achana na mambo mortgage, sijui ma engineer etc. Ukienda ki proffessional utashangaa nyumba ya million 30 umeijenga kwa milioni 70.

Kitu kikubwa anza wewe kama wewe hata kama una mtaji wa milion 20 soma mazingira tafuta hata vile viwanja vya 3,000,000 ingia hapo same chukua mafundi wa bei chee room moja gharama za ujenzi hata 120000 wanakufanyia. Wewe kwa kitu kama 15,000,000 unajenga room zako nne safi za biashara. Hapo ukipiga rent 70000 kwa mwezi kwa mwaka ni kama 3.3 M hizo unazuchukua paaaap unanunua uwanja mngine.

Kama umeajiriwa ukipata salary ya miezi mitatu hapo ni tofali kama 3000 mwezi wa nne ni cement na mchanga mwezi wa 5 hela ya mafundi na ujenzi unaanza.

Ki ufupi tu kama alivosema mdau hapo itakuchukua mda mpaka uje kuona matunda ya uwekezaji huo. Lakini kama upo organised na determined ndani ya miaka 6 au 7 unaweza kuwa tayar na real estate worth 100 million.

Mi kuna mahesabu ya ujenzi nnayo nikiwaambia watu unaweza jenga nyumba safi kwa m 30 watu wanabisha kabisa. Coz hivo vitu havipo kwenye fikra zao. Wao wakisikia nyumba basi mawazo yao ni M 100.

Sasa ndo ujiloge ujenge nyumba ya milioni 100 kwa mortgage halafu utegemee kuirudisha kwa kupangisha... Hahahahahh.. Mbona utaweza kuzaa na benki. Kwanza real estate haihitaji nyumba za luxury. Unaweza ku design chumba sebule choo jiko halafu uweke sokoni kwa 30 M hapo bado ni faida tu. Kwa mwaka ukiweza ku develop nyumba kama hizo simple hukosi 10 M faida kwa kila unit.

Hata Trump kuna sehem aliandika kama huna mentality ya penny pinching au cost minimization Real Estate itakuwa kitu kigumu sana. Na ndicho naona kina gharimu watu wengi mpaka kesho

So real estate ni mentality zaidi kuliko pesa
 
Hii sector inahitaji akili zaidi kuliko pesa. Akili ya kuangalia value ya kiwanja, nyumba au frem ya biashara kwa miaka kama mitano au kumi ijayo.So real estate ni mentality zaidi kuliko pesa
Nimeipenda hii, imenipa tena mwanga mwingine, asante kwa mchango wako
 
Kabla haujaamua ku invest... Ungekutana na huyu mtu aliyesomea REAL ESTATE FINANCE AND INVESTMENT akakupa ushauri wa kiufund zaid itakuwa vizur sana.... Achana na habar za watu wanaojibu kimazoe. Aina hii ya investment haina mchezo inatumia mtaji mkubwa sana so inabid kuwa makin ktk kuinvest
 
Kabla haujaamua ku invest... Ungekutana na huyu mtu aliyesomea REAL ESTATE FINANCE AND INVESTMENT akakupa ushauri wa kiufund zaid itakuwa vizur sana.... Achana na habar za watu wanaojibu kimazoe. Aina hii ya investment haina mchezo inatumia mtaji mkubwa sana so inabid kuwa makin ktk kuinvest

Hujatoa contacts zake mkuu, umesema huyu tu..
 
Kabla haujaamua ku invest... Ungekutana na huyu mtu aliyesomea REAL ESTATE FINANCE AND INVESTMENT akakupa ushauri wa kiufund zaid itakuwa vizur sana.... Achana na habar za watu wanaojibu kimazoe. Aina hii ya investment haina mchezo inatumia mtaji mkubwa sana so inabid kuwa makin ktk kuinvest


Wengi waliosoma hawajui kitu gani kinaendelea kwenye market.kwahyo kwa uzoefu wa mtaani mzuri zaid
 
Sio lazima uwe na 4 bil kuanza bhana,, hapa ndo wengi tunakatishiana tamaa na kuona mambo hayawezekani,,, anza na kdg kwanza, you can even start as a real estate agent (dalali) lkn ukawa serious,, take udalali kwenye next level, jitangaze vzr, atleast kuwa na office yenye jina linalotambulika,, a website, blog or social media page where ppo can see and access you and get your services easily,, kuna madalali(majina kapuni) kama wakiwa serious in the years to come watakuja kumiliki real estate companies kubwa sana hapa bongo
 
Mtaji kiasi gani? Be specific ili muuliza swali apate complete answers
Angalau uwe na nyumba kama tatu ivi za maana. Angalau alafu ziwepo sehemu muhimu kidogo ambapo watu wengi wanapenda kama karibia na soko, barabara Kuu na huduma za kijamii. Ni biashara ya pesa mingi
 
Kupangisha si inachukua muda mrefu kurudisha pesa?
Inategemea na sehemu nyumba ilipo
Mfano, mimi nipo apa Magomeni. Mahitaji ya nyumba ni mkubwa sana kwa iyo ukiwa na nyumba nzuri kupangisha chumba na sebure ukosi Tshs 350,000 kwa mwezi. Sasa zidisha Mara 12.
350,000*12=420,000
Ujenzi wa chumba na sebure ni kama 3,500,000 ambacho ni starndards kwa apa magomeni ambayo tayari kwa mwaka mmoja tayari pesa yako isharudi
 
Inategemea na sehemu nyumba ilipo
Mfano, mimi nipo apa Magomeni. Mahitaji ya nyumba ni mkubwa sana kwa iyo ukiwa na nyumba nzuri kupangisha chumba na sebure ukosi Tshs 350,000 kwa mwezi. Sasa zidisha Mara 12.
350,000*12=420,000
Ujenzi wa chumba na sebure ni kama 3,500,000 ambacho ni starndards kwa apa magomeni ambayo tayari kwa mwaka mmoja tayari pesa yako isharudi
Nimekosea kidogo
350,000*12=4,200,000
Ndani ya mwaka pesa inakuwa imesharudi tayari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom