digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,554
- 2,265
Habarini wakuu
Nina eneo langu Dodoma maeneo ya kisasa, nyuma ya St. Gasper hotel, eneo lina ukubwa wa sq 1000....
Kwa nature ya eneo hili sasa hivi naona biashara ya apartment inalipa sana, mimi nguvu sina lakini kama kuna mtu atahutaji kuwekeza aje tuingie makubaliano ajenge tu.....ni mita 150 toka barabara kuu, eneo limezungukwa na hotels na makazi ya watu.
Nina eneo langu Dodoma maeneo ya kisasa, nyuma ya St. Gasper hotel, eneo lina ukubwa wa sq 1000....
Kwa nature ya eneo hili sasa hivi naona biashara ya apartment inalipa sana, mimi nguvu sina lakini kama kuna mtu atahutaji kuwekeza aje tuingie makubaliano ajenge tu.....ni mita 150 toka barabara kuu, eneo limezungukwa na hotels na makazi ya watu.