RE: Msaada Mozilla Firefox haifunguki

Anko Sam

JF-Expert Member
Jun 30, 2010
3,200
820
Natumia Dell laptop Latitude D510, window XP 2007, nilikuwa natumia Mozilla Firefox kubrowse mitandao. Speed yake ni nzuri na nili-ifurahia. Kizaa zaa kilikuja baada ya ku-install VLC media player! Mozilla Firefox ikagoma, ilibidi nii-unnstall VLC na mozilla yanyewe.

Nikadownload na install Mozilla pekee yake lakini imegoma kufunguka nikigonga shortcut icon kwenye Desktop. Nimejaribu nimeshindwa, Mozilla firefox naipenda kwa speed yake, je nifanyeje ifunguke?

Naombeni msaada! Hii Internet Explorer indachelewa kufunguka-siipendi!
 
Version nyingi after 3.6.3 zina matatizo,ningekushauri kwa sasa utumie 3.6.3 kurudi hadi 3.x.x hizo zingine nahisi kama bado wana zifanyia majaribio,nili download 4.0 ambayo ni latest na ilinizingua kama wewe nikarudi kwenye old versions (3.6.3)
 
Ngoja nijaribu kurudi kwenye version 3.6.3 ikikataa naenda 4. Nilikwisha jaribu kuweka Opera Mini na Google Chrome lakini zilikataa kufunguka. Kudownload zinakubali, kufunguka ndo cheche!
 
Ngoja nijaribu kurudi kwenye version 3.6.3 ikikataa naenda 4. Nilikwisha jaribu kuweka Opera Mini na Google Chrome lakini zilikataa kufunguka. Kudownload zinakubali, kufunguka ndo cheche!

Ok kama na google chrome nayo basi jaribu kucheki firewall setting ya OS kama unatumia windows . Inawezekana inablock mara baada ya kuistall. nenda kwenye irewaal enable firefox au hiyo chrome.
 
Back
Top Bottom