Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,319
- 7,741
Hii sheria ipo kwa kila mwajiriwa nchini, hakuna kipya alichokisema hapo! Mwajiriwa yeyote nchini hapaswi kwenda nje ya mkoa wake pasipo ruhusa ya mwajiri wake!
Sikuwa na jua, kumbe mkuu wa mkoa ndio muajiri? Nachojua kila mtumishi kabla ya kuondoka lazima aombe ruhusa kwa mkuu wake wa kazi either DED, DAS, RAS lakini sio kwa mkuu wa mkoa.
Anyways, huenda siko sahihi.