Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,556
- 94,542
Jamaa alipata ziro kihalali kabisa.Kwa hiyo wale wanaoishi Kibaha na kufanya kazi Dar wataomba ruhusa kwake kila siku?
Jamaa alipata ziro kihalali kabisa.Kwa hiyo wale wanaoishi Kibaha na kufanya kazi Dar wataomba ruhusa kwake kila siku?
For sure aisee.Jamaa alipata ziro kihalali kabisa.
Tuko poa mkuuFor sure aisee.
Anyway habari za hapo Mengeni Mkuu?
Jifariji tu. RAS yuko chini ya RC. Na RC ni muwakilishi wa Rais mkoani.Kibali anasaini Accounting Afficer ambaye ni CEO/RAS,DED/DAS au Afisa Utumishi kwa niaba ya Accounting Officer, yeye atasaini kama nani? kweli ukipata ziro lazima na akili zitakuwa ni ziro.
DED ANAOMBA RUHUSA KWA RAS KAMA SIJAKOSEAWalio chini yake wepi? Maana kwa sheria za kiutumishi za serikali hii walio chini ya RC ni sekretariate ya mkoa na watumishi walio ofisi yake na ofisi za maDC na makatibu tarafa.
Sasa isijekuwa kuwa ubashite wake anadhani hata wahandisi wa halmashauri au DED na watumishi wa halmashauri wako kwake.
Simbachawene acha kukaa kimya taratibu za kazi za wizara yako zikiingiliwa namna hiyo. Utakuwa waziri mjinga kuona taratibu za kazi za mkoa wa Dar zinakuwa tofauti na mikoa mingine. Kama suala hilo lina tija basi badili sheria za kiutumishi ili zitumike mikoa yote
Kisheria unatakiwa uombe ruhusa Hata kama ni weekend kumjulisha mkuu wako kwamba uko nje ya eneo la kazi. Tupitie kidogo makabrasha ya kiutumishi.Kwa muda wote au siku za kazi? Yaani mwajiriwa wa mkoa dar hawezi akatoka ijumaa jioni akaenda morogoro weekend akarudi dar j2 jioni na j3 akawa ofisini? Na hiyo lazma aombe kibali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ufala basiKwahiyo nikipata kamchepuko kibaha hapo nikataka nichomoke jumamosi moja nikalegeze chaga lazima niombe ruhusa....maana ni mkoa mwingine ule!
Yani Zero kote mpaka kwenye Penati zeroooo... Ila hili Zero brain dawa ipo jikoni huyo babake mwenye kibetri kwenye moyo kikiisha chaji au akaondoka pale juu tutambeba juu juu huku tukimweka kibra.Ukipata zero shule huwezi kufanya namna ukakwepa kuonyesha hiyo zero kupitia akili yako kama Bashite..
Zero shule.. Zero kwenye Brain..Zero kwenye matendo.
Kaanza kujisahau sasaMkuu wa Mkoa Dar-Makonda
Kuanzia leo amepiga marufuku watendaji waliopo chini yake kusafiri safari yoyote ya nje ya Dar bila kibali chake.
Kasema leo katika Kongamano na watendaji wa mkoa DSM
Sent using Jamii Forums mobile app