Akifanya mahojiano na East Africa Radio Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salaam Albert Chalamila amesema;
"Kuna watu wana zagaa zagaa kwenye Tanzanite bridge, kamateni watu wote wanaokaa kwenye maeneo na walemavu kuombaomba, tumegundua ule ni mtaji wa watu ambao jioni wanakusanya mapato wanawapa kidogo wale walemavu.
"Kwahiyo walemavu wote wanaombaomba waondolewe mabarabarani kwani Rais ametoa hela kwa ajili ya nyumba za walemavu kwahiyo watakaoendelea kuwepo wakamatwe." - Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Source - EARADIO
"Kuna watu wana zagaa zagaa kwenye Tanzanite bridge, kamateni watu wote wanaokaa kwenye maeneo na walemavu kuombaomba, tumegundua ule ni mtaji wa watu ambao jioni wanakusanya mapato wanawapa kidogo wale walemavu.
"Kwahiyo walemavu wote wanaombaomba waondolewe mabarabarani kwani Rais ametoa hela kwa ajili ya nyumba za walemavu kwahiyo watakaoendelea kuwepo wakamatwe." - Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Source - EARADIO