Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,675
- 22,265
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwanini haukutaka kwenda kwenye soko la Mbagala Zakhiem kulifungua badala yake ukaenda kwenye uwanja wa Mbagala Zakhiem uliopo nusu kilomita kutoka kwenye soko?
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa nenda Mbagala Zakhiem kalifungue soko kwani wafanyabiashara wa awali mliowaahidi kwa maandishi mtawarudisha kwenye soko wanakusubiri uwakabidhi soko lao.
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa nenda Mbagala Zakhiem kalifungue soko kwani wafanyabiashara wa awali mliowaahidi kwa maandishi mtawarudisha kwenye soko wanakusubiri uwakabidhi soko lao.