dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,409
- 15,994
Hi taarifa imetoka lini kuwa anakwenda kuwa katibu mkuu naibu
Fedha zote zinazopelekwa halmashauri hata za makusanyo ya ndani ni za serikali.Kimsingi RC hana budget ya kuendeleza mkoa wake. Hela za ruzuku ya serikali kuu na mapato ya ndani ziko halmashauri chini ya madiwani.
Hazihitaji sahihi ya RC kutoka, kwa kifupi hana control ya fedha zozote. RC na DC ukiwalaumu kwenye maendeleo unawaonea tu, hawana kazi zaidi ya ulinzi na usalama.Fedha zote zinazopelekwa halmashauri hata za makusanyo ya ndani ni za serikali.
Msimamizi mkuu wa shughuli za serikali katika mkoa ni RC
Alikuwa ni Mgaya Sida huyo ndio maana aliweza.DSM aliiweza John Mhavile peke yake 😄😄
Navalonge swela
Vikwazo vya biasha vinatokana na jamii kunyamaza kukubali chochote, (kupokea) bila kuhoji mimi ni muelimishaji ujasirimali .biashara zinakufa kutokana na jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji na ukihoji utakiona cha mtema..........., na hayo ndiyo madhara ya uogaChalamila anaondoka DSM kutokana na kushindwa kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto za jiji hilo kubwa. Mahitaji ya wananchi na maono ya RC Chalamila vimeshindwa kuendana na hivyo mapendekezo yametolewa aondolewe hasa kipindi hiki cha kuomba uungwaji mkono.
Hayo yametokea baada ya Kitila Mkumbo kujaribu kufanya mikutano wananchi wakamkataa, Jerry Slaa amekataliwa adharani mbele ya Mawaziri wenzake huko Gwajima akizurura bila kutatua wala kuonyesha watu wa kawe atafanya nini.
Katika mikutano muhimu ya kupanga mipango ya jiji ambayo RC Chalamila ni MWENYEKITI ameshindwa kabisa kuwashawishi wajumbe kuimarisha miundombinu na kusimamia huduma.
RC Chalamila anaongoza jiji ambalo bikwazo vya biashara vinavyochangiwa na watumishi wa umma vimeongezeka na hakuna udhibiti. Mfano rushwa barabarani imekuwa kama huduma kwa wananchi na siyo jambo la kuogopa kama ukoma.
Huduma ya afya imeyoyoma, elimu hakuna mwelekeo jambo linalopelekea watoto kurandaranda mitaani hadi usiku na unifomu. Hakuna kiongozi wa serikali ikiwemo local Government anayewajibika.
Kwa analysis hii tayari exit yake ipo mkononi for implementation, anarudi ofisini kama Naibu Katibu Mkuu wizara ya Sanaa.
Pamoja na kwamba hoja zote za kumwondoa zina mashiko ila kidogo tusimshtukize. Kwa mantiki hiyo nimeandika uzi huu makusudi kuchelewesha uhamisho wa huyu mlevi mwenzetu asitumbuliwe usiku huu. Naamini kwa uzi huu Mdogo wetu Chalamila utapata muda wa kujiandaa unapohamishwa usiwe na mshtuko sana.
Umofia Kwenyuuuu.......Igweeeeeww
Ukabila uko wapi Hapo?Acha ukabila we bwege, kuiweza maana yake nini
Mambo ya dar ni mengi sana ila anajitahidi sana ukilinganisha na watangulizi wake walio kuwa wanaishi na media miguuniAmeweza nini? Madangulo vp yameisha yote? Stand za vichocholoni zimekoma?
Unamaanisha niniKampiga malaya risasi kahepa ikala kwa mlinzi, madadapoa wa dar sio maboya
Vichaa wana haki ya kuajiriwa pia, kuna mtu dar kaajiri vichaa kumkusanyia makopo ya plasticKwa katiba hii mbovu hata kichaa anaweza kuteuliwa kwenye nafasi yoyote
Naelewa lakini hakuna sehemu anaidhinisha au kuamua zitumikeje. Anaweza kufuatilia utekekezaji.Fedha zote zinazopelekwa halmashauri hata za makusanyo ya ndani ni za serikali.
Msimamizi mkuu wa shughuli za serikali katika mkoa ni RC
Hapana, nakataa.DSM aliiweza John Mhavile peke yake 😄😄
Navalonge swela
Aah jamanMy lips are sealed 😂
Ila sometimes kukaa kimya ni bora zaidiMy lips are sealed 😂