Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Jamani huyu ni Ray C kweli??machoni ni kama yeye lakini sura kama vile sio yeye as if ni kibibi flan toka korea kaskazini. Kweli unga noumer.
kwa taarifa ya Itv wamefcha hata maelezo yake wamesema hawawez kuweka maelezo yake au kuweka wazi eneo alilokuwa anatibiwa
walionyesha clip huku mtangazaj anaongea
Kwa tetesi nilizokuwa nazisikia huku Dom kuwa yuko milembe na msanii wa daz nundaz kama sikosei sasa kama ni kweli wewe na uchiz wako zunguka tz nzima milembe ndo break
hapa hata uingie kimodo vp utakula dawa unatoka na shavu hilooo!!
Chezea milembe wewe