cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
anatengeneza pesa gani naye hana kazi ya kumuingizia kipato na analala kwa watu?
wewe mwenyewe bado umepewa hifadhi na x- wako! muache na yeye akae kwa watu, kama kukaa kwa watu ndio kunadetermine mtu ana pesa au la! basi na turudi kwenye1960s huko kwatufaa! usikomae utosi tu, ili kukidhi haja ya makwenzi! komaa na akili ufikiri wa akili!