unajua chanzo au unadandia gari kwa mbele, ukitaka uhakika fungua blog ya u-turn tafuta sehemu aliyoandika kuhusu raya kama utaiona. nasoma mara nyingi hiyo blog cjawahi kuona amemtoa ray
Wewe hujui usemalo,alipost,tumeisoma,tuka copy,tu ka save,tuka email washkaji,baadae aka i delete nadhani baada ya watu kummueleza upuuzi aliofanya,NI Ray atakapotaka tu ushahidi aombe tumpe ishu kamili BURE BILA MALIPO.
USIONGEE USIVYOVIJUA WEWE.