Hakuna the great wala the greatest jamani yani mtu kukaa mbele ya camera sebuleni au kupanda na kuendesha gari kuogelea ndo ugreat...sawaa cha nyumbani bt there is no great at al on what they did and what they can stil do jamani jamani ivi amuwatch kitu kama apocalyto,final destination and others yaani we actor uliyeact after editing na ukapewa copy ya filamu yako ukaona jinsi ulivyotolewa moyo unazimia...kanumba na ray hawawezi hata ile fearles factor ya etv tofauti ya kanumba na ray ni sauti,muonekano na form six ya kanumba thats al...