Ray acha kujiita the greatest!

Hakuna the great wala the greatest jamani yani mtu kukaa mbele ya camera sebuleni au kupanda na kuendesha gari kuogelea ndo ugreat...sawaa cha nyumbani bt there is no great at al on what they did and what they can stil do jamani jamani ivi amuwatch kitu kama apocalyto,final destination and others yaani we actor uliyeact after editing na ukapewa copy ya filamu yako ukaona jinsi ulivyotolewa moyo unazimia...kanumba na ray hawawezi hata ile fearles factor ya etv tofauti ya kanumba na ray ni sauti,muonekano na form six ya kanumba thats al...
 
hahaha kweli hii kali, umemsema lakin ebu kaangalie kati yao wawili nan alimtangulia mwenzake kununua gari la kifahari, kisha kachunguze kati yao nani alianzisha kampuni ya kutengeneza filamu akiwa wa kwanza then uone kama yote uliyo yaandika ni sahihi

Tatizo le2 wabongo 2nazusha vi2 bila kufanya uchunguzi,, mkuu ulyoongea ya ni ya ukweli 2anze kuchunguza hyo kwanza,,
 
kwani anavyosemegwa muke ya mudhungu mange humu inakuaje, ye pia si ana blog yake! muache adadavuliwe kama ilivyo ada! ni kweli anaboa, anamuiga sana kanumba! binafsi yangu sijawahi angalia movies zake na sitakaa nikaangalia!

Acha kumuongelea limbukeni huyo. Mnampa kiburi bure...
 
huyo alieweka hapa huo uz ana kila element za ushamba wa mawazo, ila kwakuwa kutoa mawazo ni haki yako vzur ila nahc huwez kuwaza sawasawa......rch the great
 
Nakufagilia sana Ray jinsi unavoigiza bu sifagilii staili yako ya kushindana na kanumba.Unasubili kanumba afanye na wewe ufanye,nasikia kanumba alikuwa akinunua gari fulani na wewe lazima ununue hilo hilo,kanumba akianzisha blog na wewe unaanzisha hata,,alivoweka dawa kwenye nywele na wewe ukaiga..nk.*nisichopenda *zaidi *ni pale kanumba alivojiita THE GREAT wewe ukajiita THE GREATEST.Ukweli huna level ya kumfikia Kanumba kwa namna yoyote,kwa heshima ya marehem nasema badili hilo jina la THE GREATEST!
wala sio siri hana credentials za kuwa level na the late kanumba sijui kama mwenyewe analijua hilo, kiusanii anajikongoja tu
 
huyo alieweka hapa huo uz ana kila element za ushamba wa mawazo, ila kwakuwa kutoa mawazo ni haki yako vzur ila nahc huwez kuwaza sawasawa......rch the great

Na wewe una element za unini?
 
Jamani kila jambo zuri huigwa hivyo Ray akiiga mazuri kutoka kwa Kanumba msimshangae sana, kwani kuna watu sio wabunifu ila hupenda kuiga wafanyavyo wenzao!!!!!
 
misanii ya tz mipumba kweli,sasa lazima ujiite the great!badala ya kufanya kazi utambulike we unajipa majina,haya mapumba yajifunze kwa wasanii wa filamu wa maana na sio kwa hawa shwaini wa nollywood wanaotengeza filamu ndani ya siku kumi.,na yalivo mapumba zaidi yakikosolewa yanasema eti yanachukiwa,mnatia kinyaa nyambaff!
 
Hakuna the great wala the greatest jamani yani mtu kukaa mbele ya camera sebuleni au kupanda na kuendesha gari kuogelea ndo ugreat...sawaa cha nyumbani bt there is no great at al on what they did and what they can stil do jamani jamani ivi amuwatch kitu kama apocalyto,final destination and others yaani we actor uliyeact after editing na ukapewa copy ya filamu yako ukaona jinsi ulivyotolewa moyo unazimia...kanumba na ray hawawezi hata ile fearles factor ya etv tofauti ya kanumba na ray ni sauti,muonekano na form six ya kanumba thats al...

Sawa kabisa.
 
Kweli kufa kufaana. ray unajisemasema tu hebu mwaga lile bifu lenu na marehemu hapa jamvini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom