mkuu wivu wa maendeleo mzuri,ndo maana sijazungumzia huko,mi nalalamikia uigaji kama wake kama *wa wachina dhidi ya bidhaa original.Mwnzie kajiita The great,kama kweli ni rafiki yake wa kweli angetafuta jina lingine sio kuchukua jina la mwenzie na kulifanyia marekebisho!*Watu wanapiga pesa wewe na utabe wako unajadili mabadiliko ya jina!!!btw mashindano yao yalikuwa na tija kwani kila mmoja alikuwa na wivu wa maendeleo ya mwenzake!f.y.i...ray kaanza kujipanga kitambo sema nyota yake katika movie haijang'aa kivile!
Ray ndo mkuu wa mkoa wa wapi jaman?
hahaha kweli hii kali, umemsema lakin ebu kaangalie kati yao wawili nan alimtangulia mwenzake kununua gari la kifahari, kisha kachunguze kati yao nani alianzisha kampuni ya kutengeneza filamu akiwa wa kwanza then uone kama yote uliyo yaandika ni sahihi
Ray ndo mkuu wa mkoa wa wapi jaman?
tena na ye akifa, mnijuze mapema niwahi kupiga picha mpaka wakimfunga macho, kisha ni-expose kwenye blog yangu kule manjecha kwetu! mnikumbushe pia snaps za wakati anaingizwa mochwari! WHAT A PHYSCOPHANT?!!
kama kuigana dili,magari yote duniani yangekuw yanaitw Toyota,simu zote zingeitwa Nokia!
kwa nini umpangie mtu maisha bana mwacheni afanye kile ancho taka hata marehemu alisema wanashindana kimaendeleo. Mi sioni tabu kujiita the greatest let him be abeg. RAY THE GREATEST 'RJ'Nakufagilia sana Ray jinsi unavoigiza bu sifagilii staili yako ya kushindana na kanumba.Unasubili kanumba afanye na wewe ufanye,nasikia kanumba alikuwa akinunua gari fulani na wewe lazima ununue hilo hilo,kanumba akianzisha blog na wewe unaanzisha hata,,alivoweka dawa kwenye nywele na wewe ukaiga..nk.*nisichopenda *zaidi *ni pale kanumba alivojiita THE GREAT wewe ukajiita THE GREATEST.Ukweli huna level ya kumfikia Kanumba kwa namna yoyote,kwa heshima ya marehem nasema badili hilo jina la THE GREATEST!