Rasimu ya katiba

Gambabovu

JF-Expert Member
May 17, 2014
296
30
Wadau wasema Rais ameivuruga nchi kwa kuzarau tume na maoni ya wananchi,ndiye aliyelivuruga bunge maalumu la katiba,ndiye aliyesababisha sintofahamu hivyo ni mh kikwete mwenyewe aombe radhi kwa hilo ili kuleta suluhu pia awaase wabunge kuboresha maoni ya wananchi na si kuyabadili au kuyaondoa.
 
Wadau wasema Rais ameivuruga nchi kwa kuzarau tume na maoni ya wananchi,ndiye aliyelivuruga bunge maalumu la katiba,ndiye aliyesababisha sintofahamu hivyo ni mh kikwete mwenyewe aombe radhi kwa hilo ili kuleta suluhu pia awaase wabunge kuboresha maoni ya wananchi na si kuyabadili au kuyaondoa.

Sio yote yaliyoko kwenye Rasimu ni "Maoni ya Wananchi!"
1. Kuna maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
2. Kuna matokeo ya Utafiti uliofanywa na Tume,
3. Kuna maoni ya Baadhi ya Wananchi waliohojiwa na Tume!
Msikaririshwe na UKAWA mkaweka akili zenu pembeni! Hata hivyo Rais na yeye ni mwananchi, akitoa maoni, si vibaya kuchukua yale tunayoona yanafaa!

Kuhusu "kuboresha" maoni ya wananchi kwenye Rasimu, hakuna kifungu chochote cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, 2011 kinachosema "kuboresha!"
 
Sio yote yaliyoko kwenye Rasimu ni "Maoni ya Wananchi!"
1. Kuna maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
2. Kuna matokeo ya Utafiti uliofanywa na Tume,
3. Kuna maoni ya Baadhi ya Wananchi waliohojiwa na Tume!
Msikaririshwe na UKAWA mkaweka akili zenu pembeni! Hata hivyo Rais na yeye ni mwananchi, akitoa maoni, si vibaya kuchukua yale tunayoona yanafaa!

Kuhusu "kuboresha" maoni ya wananchi kwenye Rasimu, hakuna kifungu chochote cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, 2011 kinachosema "kuboresha!"


Hoja za mleta mada ulizoacha kuzizungumzia, sisi tunachukulia kwamba umeafikiana nazo.

Kwenye orodha yako sioni sababu ya msingi kutaja hiyo namba 1, kwani 2 na 3 zimefanyika kwa mujibu wa sheria.
Halafu, raisi hana mamlaka ya kutoa maoni baada ya rasimu kufikishwa bungeni. Hana mamlaka hata ya kupigia mstari neno moja ndani ya rasimu ya katiba. Hana!
 



Hoja za mleta mada ulizoacha kuzizungumzia, sisi tunachukulia kwamba umeafikiana nazo.

Kwenye orodha yako sioni sababu ya msingi kutaja hiyo namba 1, kwani 2 na 3 zimefanyika kwa mujibu wa sheria.
Halafu, raisi hana mamlaka ya kutoa maoni baada ya rasimu kufikishwa bungeni. Hana mamlaka hata ya kupigia mstari neno moja ndani ya rasimu ya katiba. Hana!

Well, na mimi niamini kwamba yale ambayo hujayagusa kwenye post yangu umekubaliana nayo!
Kuhusu Rais kutoa maoni niambie ni kifungu gani cha Sheria kinachomkataza Rais kutoa maoni baada ya Rasimu kuwasilishwa Bungeni!
 
Sio yote yaliyoko kwenye Rasimu ni "Maoni ya Wananchi!"
1. Kuna maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
2. Kuna matokeo ya Utafiti uliofanywa na Tume,
3. Kuna maoni ya Baadhi ya Wananchi waliohojiwa na Tume!
Msikaririshwe na UKAWA mkaweka akili zenu pembeni! Hata hivyo Rais na yeye ni mwananchi, akitoa maoni, si vibaya kuchukua yale tunayoona yanafaa!

Kuhusu "kuboresha" maoni ya wananchi kwenye Rasimu, hakuna kifungu chochote cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, 2011 kinachosema "kuboresha!"

Ila sheria ya Mabadilko ya Katiba 2011 inaruhusu KUFUMUA na KUANDIKA UPYA kwa maoni ya WATU600 tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom