Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Njenje walipelekwa specifically kwa ajili ya harusi.......

Again argument sio wakurugenzi wa Internal na External Intel(nina uhakika hawa hawako stationed nje ya nchi)... bali RO kama Station Chief London alifanya nini wakati haya yote yanatokea?

Walifanya maonesho mengi tu usilete uongo.
Balali kaondoka ndani RO,Lowassa kapewa haki yake ndani RO.na anafanya kazi kwa karibu sana na SFO unataka nini zaidi?

ni sawa na kumpa ujiko mwakyembe wakati kazi za kamati yake zimetokana na JK na RO kuwa radhi.SFO wakija Tz bila kupata maelekezo toka Usalama wa Taifa hawawezi kufanya kitu, kama waingereza wajanja mbona hawaendi kutoa matokeo ya uchaguzi Zimbabwe?
 
Msawhili na wenzako, hata kama mnapata mgawo mkubwa wa ufisadi lazima muwe tayari kusikia na kusema ukweli. Ninaelewa wazi mabadiliko ya kifalsafa yatachukua nguvu kubwa sana hasa pale ngome kuu ya mafisadi inapotikiswa.

Nadhani hujui kazi ya usalama wa taifa. Mzee RO kazi imemshinda. hakuna walilo lifanya la kugundua mafisadi bali wanafanya kazi kwa pressure ya kutoka nje sio ndani( maana kwao wao) mpaka wapinzani wapige kelele na jumuiya ya kimataifa itishie. Hatuwezi endelea kwa mtaji huu .
 
Msawhili na wenzako, hata kama mnapata mgawo mkubwa wa ufisadi lazima muwe tayari kusikia na kusema ukweli. Ninaelewa wazi mabadiliko ya kifalsafa yatachukua nguvu kubwa sana hasa pale ngome kuu ya mafisadi inapotikiswa.

Nadhani hujui kazi ya usalama wa taifa. Mzee RO kazi imemshinda. hakuna walilo lifanya la kugundua mafisadi bali wanafanya kazi kwa pressure ya kutoka nje sio ndani( maana kwao wao) mpaka wapinzani wapige kelele na jumuiya ya kimataifa itishie. Hatuwezi endelea kwa mtaji huu .

Wapizani wa nini cha maana? Mbona walikaa kimya wakati Mkapa anachukua Kiwira, wamefanya lipi la Maana kuona pesa za Epa Zinapatikana?

Mwakyembe na kamati zingine za wana CCM ndio zinachapa kazi.wapinzani wako kwenye usingizi labda CUF. kama Chadema ni kijiwe cha wahuni tu.
 
Msawhili na wenzako, hata kama mnapata mgawo mkubwa wa ufisadi lazima muwe tayari kusikia na kusema ukweli. Ninaelewa wazi mabadiliko ya kifalsafa yatachukua nguvu kubwa sana hasa pale ngome kuu ya mafisadi inapotikiswa.

Nadhani hujui kazi ya usalama wa taifa. Mzee RO kazi imemshinda. hakuna walilo lifanya la kugundua mafisadi bali wanafanya kazi kwa pressure ya kutoka nje sio ndani( maana kwao wao) mpaka wapinzani wapige kelele na jumuiya ya kimataifa itishie. Hatuwezi endelea kwa mtaji huu .

wewe unapata mgao mdogo wa ufisadi ndio maana unalalamika? ukipewa mkubwa utanyamaza? swala ni kuwa RO kafanya mengi ndani ya muda huu mdogo.
 
Kama hukutaja jina la huyo mtu usiseme naweza kutaja jina. Unakuwa kama waandishi wa THISDAY -'jina la Waziri tunalihifadha, alikuwepo baraza la Mkapa.' Kwa nini unasema sasa? Nilifikiri JF inasimama kinyume na huo utamaduni wa ‘jina tunalo.’ Pia, inaonekana mlikuwa mnafuatiliana na huyo kachero kwa ishu zenu binafsi, hivyo nitaazima maneno yako 'sasa unataka kuugeuza huu mjadala kuwa personal badala ya taifa, hatutakupa hiyo nafasi.'

Kuhusu stori yako ya mafaili ya Lowassa aliyopewa Nyerere na Usalama, siijui lakini naona imepinda pinda kidogo. Naona hoja nyingi hapa za kachero fulani kafanya hivi na vile wakati kazi yake ni vile na hivi ni mafikirio fikirio tu. Inakuwa kama mtindo mpya wa mavazi kutaka kila mtu ajiuzulu kwa kutegemea nadharia za kuotea otea.

Na hoja inayosema Usalama wana faili la kila kiongozi kwa hiyo wanatakiwa wajue, na wamzuie Chenge asiibe ina tundu kubwa. Ili waweze kuwa na hizo taarifa, kuzuia na kukamata wahalifu, inabidi wawe wana update haya mafaili continually. Inabidi wafuatilie Chenge kafanya dili gani jipya, kafungua akaunti gani wapi wiki iliyopita, na Ballal kazua soo gani jana. Ina maana Usalama wamuweke kila kiongozi chini ya hali ya uchunguzi bila hata shuku ya msingi (reasonable suspicion). Sidhani kama hii ndio kazi yao, au hata inawezeka kiutekelezaji au kisheria kwa sababu mara nyingine uchunguzi unaohitaji kuvamia mabenki unahitaji ufuate misingi ya due process inayoendana na Bill of Rights ya Katiba ya Tanzania.


Na mwisho, kwa mara nyingine umechomekea lugha za udini hapa wakati sio mahali pake. Najua siko kwenye ngazi ya kukusahihisha veterani kama wewe kuhusu uvunjaji wa taratibu za JF, lakini unashusha hadhi ya hoja zako na yako mwenyewe unapoonekana kama mdini mdini.

Nilisema niko nyuma yako Field Marshall ES kama mwanajeshi wa miguu katika haya mapambano dhidi ya Ufisadi, lakini naona unaongoza vita vingine, na nimepoteza imani na heshima yote kwako. Divisiveness ya fikra kama zako ni hatari kuliko ujambazi wa kina Chenge na Billal kama wanavyo shutumiwa.



Sasa wewe unadhani usalama wa taifa kazi yao nini kuna kipindi privancy ya mtu inabidi ijulikane kwao kwa maslahi ya taifa ingawa inakuwa top secrect "they gonna do what they gonna do inorder to do what they have to do"
Waijapita muda tuliweka hapa TISS 1996 act ambapo part ii 5(1) states function zake part II 5(2) inaonyesha wasichotakiwa kufanya.

Kwa habari ya udini hapo kweli nakuunga mkono imekosewa kuwekwa hapo.
Check out this part too
PART IV
DUTIES, AND POWERS OF TISS

Duty to collect,analyse and retain information

14.-(1) It shall be the duty of the Service to collect, by investigation
or otherwise, to the extent that it is strictly necessary, and analyse and retain information and intelligence respecting activities that may on reasonable grounds be suspected of constituting a threat to the security of the United Republic or any part of it.


Power to investigate
(2) The Service shall, in relation to the information dealt with under
subsection (1), report to and advise the Government.
(3) The Service may provide security assessments to departments of the Government.
(4) The Service may-
(a) advise any Minister on matters relating to the security of Tanzania;
or
(b) provide any Minister with information relating to security matters.
15.-(1) The Service shall, subject to this Act, have power to investigate
any person or body of persons whom or which it has reasonable
cause to consider a risk or a source of risk of a threat to the state security.

(2) The Service may conduct any investigations which are required
for the purpose of providing security assessments pursuant to section 14.
(3) The Service may, with the approval of the Minister, enter into an
arrangement with-
(a) any person or body of persons;
(b) any local government or other authority;
tion of
No. 15 Tanzania Intelligence and Security Service 1996 9
(c) any police, force or other policing organisation.
authorising the Service to provide security assessments.
(4) The Service may, with the approval of the President after consultation with the Minister for Foreign Affairs, enter into an arrangement with the government of a foreign state or an international organization of states authorizing the service to provide the government, institution or organisation with security assessment.
 
Walifanya maonesho mengi tu usilete uongo.
Balali kaondoka ndani RO,Lowassa kapewa haki yake ndani RO.na anafanya kazi kwa karibu sana na SFO unataka nini zaidi?

ni sawa na kumpa ujiko mwakyembe wakati kazi za kamati yake zimetokana na JK na RO kuwa radhi
.SFO wakija Tz bila kupata maelekezo toka Usalama wa Taifa hawawezi kufanya kitu, kama waingereza wajanja mbona hawaendi kutoa matokeo ya uchaguzi Zimbabwe?

Ah!!!

Tafiti then jadili yuko wapi at least kutakuwa na constructive argument.

Hapo kwenye bold pameniacha hoi.....hivi are we still paying USD 152,000 kila siku?
 
Msawhili na wenzako, hata kama mnapata mgawo mkubwa wa ufisadi lazima muwe tayari kusikia na kusema ukweli. Ninaelewa wazi mabadiliko ya kifalsafa yatachukua nguvu kubwa sana hasa pale ngome kuu ya mafisadi inapotikiswa.

Nadhani hujui kazi ya usalama wa taifa. Mzee RO kazi imemshinda. hakuna walilo lifanya la kugundua mafisadi bali wanafanya kazi kwa pressure ya kutoka nje sio ndani( maana kwao wao) mpaka wapinzani wapige kelele na jumuiya ya kimataifa itishie. Hatuwezi endelea kwa mtaji huu .

Unaweza kubadili jina lako? wenzako wengi wamebadili. kama fikira duni n.k
kinepi nepi kwangu mimi naona kama mtu ambaye muda mwingi unaharisha hivyo kupunguza uwezo wako wa kufikiri.
samahani ni ushauri tu.
 
Sasa wale mliokuwa mnaongea kiushabiki nadhani mjadala ndio umeanza upya...naombeni msome tena hapo chini alafu tuje tujadiliane vizuri.

This is interesting, wana power ya kuinvestigate lakini hawana power ya kuarrest? kinda funny..

DUTIES, AND POWERS OF TISS

Duty to collect,analyse and retain information

14.-(1) It shall be the duty of the Service to collect, by investigation
or otherwise, to the extent that it is strictly necessary, and analyse and retain information and intelligence respecting activities that may on reasonable grounds be suspected of constituting a threat to the security of the United Republic or any part of it.


Power to investigate
(2) The Service shall, in relation to the information dealt with under
subsection (1), report to and advise the Government.
(3) The Service may provide security assessments to departments of the Government.
(4) The Service may-
(a) advise any Minister on matters relating to the security of Tanzania;
or
(b) provide any Minister with information relating to security matters.

15.-(1) The Service shall, subject to this Act, have power to investigate
any person or body of persons whom or which it has reasonable
cause to consider a risk or a source of risk of a threat to the state security.

(2) The Service may conduct any investigations which are required
for the purpose of providing security assessments pursuant to section 14.
(3) The Service may, with the approval of the Minister, enter into an
arrangement with-
(a) any person or body of persons;
(b) any local government or other authority;
tion of
No. 15 Tanzania Intelligence and Security Service 1996 9
(c) any police, force or other policing organisation.
authorising the Service to provide security assessments.
(4) The Service may, with the approval of the President after consultation with the Minister for Foreign Affairs, enter into an arrangement with the government of a foreign state or an international organization of states authorizing the service to provide the government, institution or organisation with security assessment.
 
Haki yako kuwa HOI. kwani tafiti huwa anakukosha? unanitisha mkuu.

Wacha kuharibu thread.....haya mengine sio mahali pake hapa ila kama uko interested kujua zaidi you are more than welcome.....just name a place and time..

Back to the mada!!! Issue ya nyumba ya ubalozi wetu imefikia wapi?
 
DUTIES, AND POWERS OF TISS

Duty to collect,analyse and retain information

Power to investigate

(4) The Service may-

(a) advise any Minister on matters relating to the security of Tanzania;
or

(b) provide any Minister with information relating to security matters.

Ahsante mkuu kwa hii dataz, angalau itapunguza ubishi tuu bila facts!
 
Naona posts zangu zinafutwa bila sababu.anyway niache muendelee na agenda yenu, mnadai hoja hujibiwa kwa hoja mbona posts zangu zinafutwa?

Jiulize mwenyewe, ukikosa jibu jichunguze then badili mwenendo
 
Naona unazungumza maneno kama uko mwezini, tayari kuna mtu kafungiwa sababu yako.wewe chizi kweli kama Mbowe wako.unaniogopa na kunipa cheo cha Foreign safi sana, niko kitengo gani? kweli michagga mimi naichukia sana hasa ya Chadema.

yaani hadi nikutaje jina lako humu ndio utajua unajulikana na chuki zako? Cheo hicho cha Foreign sikukupa mimi amekupa jamaa yako. Kwenda mwezini ni maumbile. Labda kwenu hakuna wanaokwenda mwezini. Naweza kukupa mifano michache ya watu wa upande wako wanaokwenda mwezini.

Wewe uchukue fedha za UwT halafu uchukue na fedha za Foreign. Wewe mtetee RO kwa sababu una maslahi yako binafsi. Hizo 2500 ulizolipwa ndio bei ya usaliti kwa nchi yako.

asante.
 
Mswahili, you are reminded to observe forum rules, this warning comes in light of your gender specific affronts.
 
yaani hadi nikutaje jina lako humu ndio utajua unajulikana na chuki zako? Cheo hicho cha Foreign sikukupa mimi amekupa jamaa yako. Kwenda mwezini ni maumbile. Labda kwenu hakuna wanaokwenda mwezini. Naweza kukupa mifano michache ya watu wa upande wako wanaokwenda mwezini.

Wewe uchukue fedha za UwT halafu uchukue na fedha za Foreign. Wewe mtetee RO kwa sababu una maslahi yako binafsi. Hizo 2500 ulizolipwa ndio bei ya usaliti kwa nchi yako.

asante.

nadhani muda huu ungeutumia kubadili always yako au unatumia tambara kwa kukosa pesa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom