Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Naomba nitoe mchango wangu kiduchu.

kwanza, Si kweli kuwa Usalama wa Taifa wamekuwa wakifuatilia mambo ya kashfa. Wana uwezo huo kisheria lakini kimaslahi hawawezi kufanya hivyo kwani hawataki kumuabisha Rais au kushiriki kwa namna moja ile kumuabisha Rais.

pili, kama ilivyosemwa na wengine watu wa usalama wa Taifa kuanzia Mkurugenzi wao ni watu wenye maslahi yanayogongana na kwa muda mrefu wamekuwa wakitumiwa siyo kukusanya taarifa za kijasusi bali taarifa za kisiasa dhidi ya wanasiasa na viongozi.

tatu, usalama wa Taifa wanatumika kuvet viongozi wa juu ingawa siyo jukumu lao hilo kisheria. Wakati EL alipojiuzulu UwT walikuwa pembeni kwanza lakini alipoanza kuzungumza na kuita watu mbalimbali hadi pale Movenpick alipoangusha machozi. Watu wa UwT walikuwapo pale na walinasa yote aliyosema kuhusu JK mbele ya kina Apson.

Ndicho hicho kilichotumiwa kumnyamazisha EL.

Kiufupi ni kuwa hawa UwT wanawajibika kulinda majina, hadhi na vyeo vya viongozi kuliko kulinda usalama wa taifa na maslahi yake. Ndio maana walianzisha uchunguzi wa JF kwa sababu inadaiwa unachafua "viongozi".

Hivyo hata mimi naunga mkono ajiuzulu tu.

asante.
 
Nani kasema kuwa Rashid hakumpatia JK habari za Chenge?? Tunaelekeza frustrations zetu pasipofaa. Wa kujiuzuzulu ni Kikwete, that is where the bucks should stop. Kikwete anatakiwa ajue habari za watendaji wake wote, hasa Mawaziri kabla ya kuwateua. Kama alikuwa hajui then, kwa nini asingemuagiza Rashid kufuatilia ile list ya mafisadi iliyokuwa imezagaa mitaani na kuhusisha watendaji wake?? Nilishasema hapo awali, bunge lianze taratibu za kumng'oa Kikwete. Yeye ndie wa kushurutishwa kuachia ngazi.

frustrations za kina bi senti 50 ambao wanazungumza maneno kama vile wako always.
wao walikuwa wapi kulizungumza hili uchaguzi wa 2005 kwani deal hii imetokea 2002. kama kulala wamelala wao wapinzani wa Chadema.
 
On a system that is so corruptand incompetent, one has to examine each and everything to determine the root cause of decay.

Yes Kikwete is the bigger target, however that does not take away roles and responsibilities of others who are part of the whole rotten structure.

For your information, RO has already made threats to JF and its members that we should leave the government alone. Where his threats a directive from his boss or it was his personal drive to threatened those who are exposing a decayed system?

If Kikwete is gone, just like Mkapa, but the RO, Simba, Marmo, Chenge, Hosea, Mwanyika, Makame wa Tume Uchaguzi and others remain intacts, even the new head will be the same.

For us to cure the problem and rehabilitate the system is to weed out everything! RO was responsible office to cover London. IPTL, RADAR and others passed his hound nose undetected!

If he failed to protect our country on a paper contract, how can he protect our country on invasion or any other calamity?

If he is doing his dilligent work, then why doesn't he come out in defiance to public and declare what he did and his advise to the government and the outcomes?

If CIA chief, FBI head and NSA head can publicly come out against their boss, why is it hard for Tanzania to go away form the culture of fear mkubwa?

If Kikwete would tell RO kill Sir Leem, Brazameni or Kada Mpinzani, will RO execute the mission because kaambiwa Sir Leem hafai na simpendi just because mkubwa kasema, au RO will question the motive and judgment of his boss?

Before Kikwete goes, RO must go! and so are others such as Chenge!

Rev,
We might be targeting at having the same outcome, but I am of the opinion that going after RO is clearly directing our efforts to a wrong target. RO serves at the pleasure of JK not Bunge, or even Hon. Simba. My good guess is that all these Chenge’s billions we are hearing about, just like Lowassa’s daladala, houses, billions n.k., is not news to JK or RO. But JK still appointed them. Chenge’s file must have some information about his conducts or even the offshore thing. But they , Chenge, Lowassa, Mkapa, JK, Mramba etc., are too intertwined that for JK to fire one might cause a big crack in their clandestine. Therefore to avoid troubles to JK himself, he keep these rooten guys and wait for their natural fall. It may take month, but it might as well take his term.

So for us keeping on beating RO is just a waste of time, it is Kikwete whom we should be going after. Why did he appoint them?? The TI report was very clear about Chenge’s involvement in the IPTL saga, why was he given even a better and lucrative ministerial post?? KIKWETE…. he is the we should demand for his head and the rest will follow. The evidence for his inefficiency is anormous.
 
Rev,
We might be targeting at having the same outcome, but I am of the opinion that going after RO is clearly directing our efforts to a wrong target. RO serves at the pleasure of JK not Bunge, or even Hon. Simba. My good guess is that all these Chenge’s billions we are hearing about, just like Lowassa’s daladala, houses, billions n.k., is not news to JK or RO. But JK still appointed them. Chenge’s file must have some information about his conducts or even the offshore thing. But they , Chenge, Lowassa, Mkapa, JK, Mramba etc., are too intertwined that for JK to fire one might cause a big crack in their clandestine. Therefore to avoid troubles to JK himself, he keep these rooten guys and wait for their natural fall. It may take month, but it might as well take his term.

So for us keeping on beating RO is just a waste of time, it is Kikwete whom we should be going after. Why did he appoint them?? The TI report was very clear about Chenge’s involvement in the IPTL saga, why was he given even a better and lucrative ministerial post?? KIKWETE…. he is the we should demand for his head and the rest will follow. The evidence for his inefficiency is anormous.

Kuvuja pakacha nafuu kwa mchukuzi?

We need more cracking, the more cracking the bigger the jackpot explosion.

Lowassa, Karamagi n Msabaha stepped down, that was one crack, Mramba, Meghji and those who were not apointed, it was not a crack but a by the way crack.

RO, Hosea, Chenge, Mwanyika will be a big crack, ufa utaongezeka na msingi utaendelea kulegalega na hata wapitanjia ambao walikuwa hawajajisumbua kudadisi kudidimia kwa nyumba macho, masikio na akili zitawaamka na waanze chungulia huu ufa, mpasuko unaotokea.

Ili msingi ubomoke, lazima kuanza kumomonyoa na kujenga ufa. RO na Chenge ni nyufa tosha kuendeleza kubomoka kwa Msingi.
 
Kuvuja pakacha nafuu kwa mchukuzi?

We need more cracking, the more cracking the bigger the jackpot explosion.

Lowassa, Karamagi n Msabaha stepped down, that was one crack, Mramba, Meghji and those who were not apointed, it was not a crack but a by the way crack.

RO, Hosea, Chenge, Mwanyika will be a big crack, ufa utaongezeka na msingi utaendelea kulegalega na hata wapitanjia ambao walikuwa hawajajisumbua kudadisi kudidimia kwa nyumba macho, masikio na akili zitawaamka na waanze chungulia huu ufa, mpasuko unaotokea.

Ili msingi ubomoke, lazima kuanza kumomonyoa na kujenga ufa. RO na Chenge ni nyufa tosha kuendeleza kubomoka kwa Msingi.

Rev,
I agree with you that big cracks are what we need. But we will never get one unless Bunge takes over these issues or a foreign country. To get a crack through RO, as it is now, I think it is impossible. I see no evidence that will put him against the law. But there is plenty to talk about for the case of JK if brought to the Bunge. Why dont we try that avenue? We ought to look at JK as a hinderance not as a way to solution. If JK goes, so will RO.
 


...Usalama wa taifa wana a strong hand kwenye ku-object kupewa madaraka kwa kiongozi yoyote yule nchini, kwa sababu walizozifanyia uchunguzi, Mwalimu wakati anamkataa Lowassa kugombea urais, alikuwa na information nzito za kifisadi against him ambazo alikuwa amepewa na usalama wa taifa...

kwa hiyo ni wajibu wa usalama wa taifa kuwa habari za Chenge, kuwa na mapesa yote hayo nje na jinsi alivyoyapata, kwa sababu nilitegemea kuwa utakuwa ni wajibu wa usalama wa taifa kujua kiongozi wetu wa juu huko nje ameenda wapi na kufanya nini...

Mimi nikiwa US huko nyuma, kulikuwa na ofisa mmoja wa usalama, aliyekuwa akinifuata fuata sana na kutuma ripoti nyingi za uongo bongo zinazonihusu, akifikiri kuwa ana akili sana kumbe mimi nilikuwa ninamchora tu, na kumuona mjinga kwa sababu wakati anahangaika na mimi, kulikuwa na viongozi kama hawa Chenge wakifanya mambo yao ya ufisadi sasa unaona kwamba hii ishu inaangukia wapi usalama wa taifa. Huyu mkulu alinisingizia kuwa nilimmualika mgombea mmoja wa urais na wazungu walihudhuria na kuchanga dola karibu millions ili kumsaidia yule mgombea, kitu ambacho ni uongo wa mchana na a pure nonesense, tena ninaweza hata kulitaja jina hapa na ujinga wote lilikuwa likiufanya na wake za watu, badala ya kuwafuatilia kina Chenge, sasa haya ndio matokeo yake tunakuja kuumbuliwa na wazungu, na hili li-ofisa nalo lifukuzwe kazi pia, tena najua liko wapi sasa, maana haya ya Chenge yamefanyika likiwa kule US.

Kama hukutaja jina la huyo mtu usiseme naweza kutaja jina. Unakuwa kama waandishi wa THISDAY -'jina la Waziri tunalihifadha, alikuwepo baraza la Mkapa.' Kwa nini unasema sasa? Nilifikiri JF inasimama kinyume na huo utamaduni wa ‘jina tunalo.’ Pia, inaonekana mlikuwa mnafuatiliana na huyo kachero kwa ishu zenu binafsi, hivyo nitaazima maneno yako 'sasa unataka kuugeuza huu mjadala kuwa personal badala ya taifa, hatutakupa hiyo nafasi.'

Kuhusu stori yako ya mafaili ya Lowassa aliyopewa Nyerere na Usalama, siijui lakini naona imepinda pinda kidogo. Naona hoja nyingi hapa za kachero fulani kafanya hivi na vile wakati kazi yake ni vile na hivi ni mafikirio fikirio tu. Inakuwa kama mtindo mpya wa mavazi kutaka kila mtu ajiuzulu kwa kutegemea nadharia za kuotea otea.

Na hoja inayosema Usalama wana faili la kila kiongozi kwa hiyo wanatakiwa wajue, na wamzuie Chenge asiibe ina tundu kubwa. Ili waweze kuwa na hizo taarifa, kuzuia na kukamata wahalifu, inabidi wawe wana update haya mafaili continually. Inabidi wafuatilie Chenge kafanya dili gani jipya, kafungua akaunti gani wapi wiki iliyopita, na Ballal kazua soo gani jana. Ina maana Usalama wamuweke kila kiongozi chini ya hali ya uchunguzi bila hata shuku ya msingi (reasonable suspicion). Sidhani kama hii ndio kazi yao, au hata inawezeka kiutekelezaji au kisheria kwa sababu mara nyingine uchunguzi unaohitaji kuvamia mabenki unahitaji ufuate misingi ya due process inayoendana na Bill of Rights ya Katiba ya Tanzania.


…sasa unataka kuugeuza huu mjadala kuwa personal badala ya taifa, hatutakupa hiyo nafasi, you nothing but mdini tu ndugu yangu

Na mwisho, kwa mara nyingine umechomekea lugha za udini hapa wakati sio mahali pake. Najua siko kwenye ngazi ya kukusahihisha veterani kama wewe kuhusu uvunjaji wa taratibu za JF, lakini unashusha hadhi ya hoja zako na yako mwenyewe unapoonekana kama mdini mdini.

Nilisema niko nyuma yako Field Marshall ES kama mwanajeshi wa miguu katika haya mapambano dhidi ya Ufisadi, lakini naona unaongoza vita vingine, na nimepoteza imani na heshima yote kwako. Divisiveness ya fikra kama zako ni hatari kuliko ujambazi wa kina Chenge na Billal kama wanavyo shutumiwa.
 
Mwanakijj ni mnafiki na kigeugeu, mimi niliposema kuwa TRA kuna rushwa na ukabila kiasi ya kuwa bwana Mengi halipi kodi hivyo Kitilya afukuzwe, ukabisha sana kwa maelekezo ya tajiri yako(Mbowe).

Suala la RO sioni point za kumwambia ajiulu kwa lipi? RO kapata wadhifa huu august 2006.hana miaka miwili kwenye post na mkurugenzi aliyeondoka alikuwepo toka 2002 wakati dili hii imefanyika.

kama una akili nzuri ukipima na kujua kuwa RO anafanya kazi yake vizuri sana, hao SFO kwanini hawakuja toka 2002 na wanakuja sasa? jibu ni jepesi kuwa mazingira mazuri na ushirikiano wa JK na RO ndio umewapa njia ya kuja. SFO hawawezi kufanya chochote bila baraka za RO.

Mwanakijiji usitake kuleta chuki za maisha yako kuwa magumu kutokana na hali halisi ya marekani na kusababisha kuwachukia viongozi wetu.

JK na RO toka wameingia wamefanya makubwa mfano kesi ya balozi Mahalu,Richmond, gavana na kesi ya wauza madini.

RO amesimama kidete na kuhakikisha kuwa LOWASSA anawajibika kama angekuwa Mkapa asingefanya hayo na asingetoa ushirikiano kwa SFO.

Mwanakjj uchunguzi hauchukuliwa kwa kukurupuka kama MBowe alivyokurupuka kujitia kwenda kusoma bila kufanya utafiti kama anaweza matokeo yake kakimbia chuo,

usalama wa Taifa wana mashirikiano na MI5 na Scotland Yard na hili ndilo ktk juhudi za RO. APSON alikuwepo hapo kwanini hakuwaita SFO? au hujui kama alikuwa anakula na MKAPA na kupewa tenda ya kujenga ukuta wa Ikulu kwa mamilio ya pesa?

mnajifanya hamjui ujambazi wa mabenki ulivyokitisa nchi kipindi cha APSON? alipoingia RO hakuna tena wizi huo baada ya kutengeneza mkakati kabambe na Said Mwema.

JK na RO wamehakikisha kamati ya kufuatilia EPA inapatikana.Kamati ya Mwakyembe na matokeo mmeyaona, lakini kwa vile mmekuwa wavivu wa kufikiri kuwa ya Mwakyembe bila muongozo wa RO na JK kusingekuwa na lolote la maana.

Mwanakijiji hukufukuzwa kwenda Marekani na RO ni ujinga wako kuiona marekani kwenye picha za sinema ukajua ndio real life, matokeo yake umeshindwa kusoma na pesa huna umebaki kuwa mtumwa wa Mbowe na hasira zako kuzileta humu JF.
 
Uongozi mzima wa nchi na mfumo wake unatakiwa ubolewe kuanzia juu mpaka chini kama tunataka maendeleo ya kweli na uwajibikaji.Kwa sasa hakuna mamlaka inayoogopwa kwenye ile nchi kila mwenye cheo anakiburi na cheo chake kwani amekinunua. Wamenadi nchi. Tukianzia juu. Kikwete amewekwa madarakani na fedha za mafisadi. analipa fadhila kwa mafisadi kwa kuwapa kazi za ufisadi.
RO yupo pale kwa uswahiba sio kazi hivyo hajali hata akisikia nchi nzima imeibiwa sio kazi yake.

Tusipo jitoa hadharani kama kina kubenea, kitila na wengine kupigia kelele haya maovu hakuna kitakachotokea.
wanajambo lazima wengi waingie bungeni na kuleta chachu ya kweli ya maendeleo.

pale dola inapolinda mafisadi, mwiba kwa masikini.

Nipo tayari kufa kwa kusema ukweli.
 
Uongozi mzima wa nchi na mfumo wake unatakiwa ubolewe kuanzia juu mpaka chini kama tunataka maendeleo ya kweli na uwajibikaji.Kwa sasa hakuna mamlaka inayoogopwa kwenye ile nchi kila mwenye cheo anakiburi na cheo chake kwani amekinunua. Wamenadi nchi. Tukianzia juu. Kikwete amewekwa madarakani na fedha za mafisadi. analipa fadhila kwa mafisadi kwa kuwapa kazi za ufisadi.
RO yupo pale kwa uswahiba sio kazi hivyo hajali hata akisikia nchi nzima imeibiwa sio kazi yake.

Tusipo jitoa hadharani kama kina kubenea, kitila na wengine kupigia kelele haya maovu hakuna kitakachotokea.
wanajambo lazima wengi waingie bungeni na kuleta chachu ya kweli ya maendeleo.

pale dola inapolinda mafisadi, mwiba kwa masikini.

Nipo tayari kufa kwa kusema ukweli.

Bwana nepi nepi jina lako na mchango wako havitofautiani kabisa.

RO kakosa nini? hana miaka miwili anafumua mambo ya uozo wa Mkapa kwa miaka yote kumi aliyokuwa madarakani.kama ni uswahiba atakuwa nao APSON aliyekuwa hana elimu akapewa cheo kile.

RO ana masters ya usalama. wakato Apson ni kidato cha sita na hakuna alichokifanya wakati wa utawala wake zaidi ya kukomba na kujipa tenda ya kujenga fence ya Ikulu na kujaza wanyakyusa Idara ya usalama hao wazungu walilalamika hadi bungeni kwao lakini serikali ya mr. clean hakusikiliza. Mwache RO aanze shughuli yake ndio kwanza kunapambazuka. Mnataka ajiuzulu mapema ili kina Yona na Mramba wasichukuliwe hatua?

JK na RO chapeni mzigo msiwasikilize hawa kina Mwanakijiji ambao wamefeli kimaisha completely wanatumiwa na Mbowe kuwakingia kifua wachagga wezi kama Mramba, mama Mkapa na Kitiilya wa TRA.
 
nadhani sasa jamani tumeshasema na kuandika vya kutosha... hebu tufanye majumuisho na kuweza kumove on...


Somehow nimegundua kuwa kichwa cha habari kimebadilishwa...hii ni bahati au ni kitu gani? je kuna uhusiano wa kubadili kichwa cha topic na kushindwa kwa hoja kwa mtoaji? for reminder kichwa cha habari kilikuwa ''RASHID OTHMAN:UMESHINDWA KAZI,JIUZULU YES I SAID IT''


Hoja nyingi katika mijadala hii zinaashiria jambo moja kuu la msingi ''HATUJUI KAZI HASA ZA USALAMA WA TAIFA, NA PIA HATUJUI IWAPO KAZI YAO IMEFANYIKA AU LA'' kwa vile mtindo wao wa kazi ni tofauti kidogo.

Nadhani hapo ndio kwenye msingi mkuu wa hoja kwa sasa, vinginevyo naona tutazunguka wee then tutarudi pale pale ''how do we know kuwa kazi imefanyika or not iwapo hatujui modalities ya kazi zao''...

Au tufanye mpango kama wana JF tupate insider wa kutumegea issue zote za ndani, kama tunajidai kuwa mabadiliko ya sasa nchini ni matokeo ya ''kumkoma nyani giladi hapa'' basi tutashindwaje kuwatambua usalama wa taifa na kuwaomba wachangie...tukifikia hapo kweli jf tutakuwa vidume!

KUMBUKA
Mavi hayana mwiba,lakini ukiyakanyaga tu lazima uchechemee hata kama ukivaa viatu..........
 
Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi?

Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa RO na timu yake walikuwa wapi?

Niendelee kuorodhesha ushahidi wa uzembe uliokithiri na uvivu wa kufikiri wa taasisi nyeti ya Usalama wa Taifa? Kama wameshindwa kugundua matukio ya economic sabotage yanayoendelea nchini wana faida gani? Hii ya kusafiri na Rais na kutumia vi ear pieces na makoti marefu kama vile wao Secret Service?

Rashid Othman ajiuzulu kwa ajili ya Usalama wa Taifa!!!

yes I said it!

Ukisikia wivu wa kike ndio huu unaona wivu hadi koti la RO?
NADHANI angeanza kujiuzulu bosi wako(Mbowe).

Anyway naishauri serikali ikuache kwani una matatizo ya kisaikolojia, umeenda Marekani ukijua huko pesa zinaokotwa na Elimu inapatikana kijinga, matokeo yake huna elimu wala pesa rudi nyumbani, hizi chuki na watu baada ya kuona umeshindwa kufikia malengo yako hazitakusaidia.rudi mapema nenda Tumaini ukafanye digrii ni aibu kujitia Mwandishi wa habari huku huna elimu yeyote zaidi ya kushinda JF hapa.

ukirudi watu wanataka kujua una nini mfano una masters au pesa, kwa wewe huna jipya zaidi ya posts zako za JF.
 
nadhani sasa jamani tumeshasema na kuandika vya kutosha... hebu tufanye majumuisho na kuweza kumove on...


Somehow nimegundua kuwa kichwa cha habari kimebadilishwa...hii ni bahati au ni kitu gani? je kuna uhusiano wa kubadili kichwa cha topic na kushindwa kwa hoja kwa mtoaji? for reminder kichwa cha habari kilikuwa ''RASHID OTHMAN:UMESHINDWA KAZI,JIUZULU YES I SAID IT''


Hoja nyingi katika mijadala hii zinaashiria jambo moja kuu la msingi ''HATUJUI KAZI HASA ZA USALAMA WA TAIFA, NA PIA HATUJUI IWAPO KAZI YAO IMEFANYIKA AU LA'' kwa vile mtindo wao wa kazi ni tofauti kidogo.

Nadhani hapo ndio kwenye msingi mkuu wa hoja kwa sasa, vinginevyo naona tutazunguka wee then tutarudi pale pale ''how do we know kuwa kazi imefanyika or not iwapo hatujui modalities ya kazi zao''...

Au tufanye mpango kama wana JF tupate insider wa kutumegea issue zote za ndani, kama tunajidai kuwa mabadiliko ya sasa nchini ni matokeo ya ''kumkoma nyani giladi hapa'' basi tutashindwaje kuwatambua usalama wa taifa na kuwaomba wachangie...tukifikia hapo kweli jf tutakuwa vidume!

KUMBUKA
Mavi hayana mwiba,lakini ukiyakanyaga tu lazima uchechemee hata kama ukivaa viatu..........

Achana nao hawa wapuuzi.Mwanakijiji ni mjinga fulani ambaye hana kibali cha kuishi marekani kutokana na ugumu wa maisha na frustration alizonao amekuwa akiwachukia watu wa serikali au waliomzidi kielimu, machungu yake ya maisha anatuletea sisi badala ya kuwapelekea wa Marekani walionyima stay.
 
-1997-2005 RO alikuwa Station Chief London....
-Radar imenunuliwa 2002
-Chenge ana Account(s) UK
Kama RO angefanya kazi yake ipasavyo basi sidhani Chenge angekuwa Waziri leo.

Alafu hii ya kusema kuwa anaweza akawa amemshauri Rais ana akapuuziwa, ni very weak sasa kama amepuuziwa kwa nini anaendelea kushikilia hicho cheo(another weakness), what makes him believe next time rais atamsikiliza?.

Hakuna aliyejibu swali langu, Wana njenje walivyotumbuiza kwenye harusi ya mwanae walilipiwa na nani kwenda UK?
 
-1997-2005 RO alikuwa Station Chief London....
-Radar imenunuliwa 2002
-Chenge ana Account(s) UK
Kama RO angefanya kazi yake ipasavyo basi sidhani Chenge angekuwa Waziri leo.

Alafu hii ya kusema kuwa anaweza akawa amemshauri Rais ana akapuuziwa, ni very weak sasa kama amepuuziwa kwa nini anaendelea kushikilia hicho cheo(another weakness), what makes him believe next time rais atamsikiliza?.

Hakuna aliyejibu swali langu, Wana njenje walivyotumbuiza kwenye harusi ya mwanae walilipiwa na nani kwenda UK?

Kwani TID, Lady jaydee, Nature, Khadija Kopa, Kingwendu na wengine wanaletwa na RO? hii si hoja, kama alikuwa anawaleta mbona wanapatika na sasa? last week alikuwepo TID na Wamasai wamekuja.

hujui kama usalama wana wakurugenzi wa mambo ya ndani na nje? nadhani ungemuuliza APSON aliyekuwa mkurugenzi mkuu kwa kipindi hicho.
 
nadhani sasa jamani tumeshasema na kuandika vya kutosha... hebu tufanye majumuisho na kuweza kumove on...


Somehow nimegundua kuwa kichwa cha habari kimebadilishwa...hii ni bahati au ni kitu gani? je kuna uhusiano wa kubadili kichwa cha topic na kushindwa kwa hoja kwa mtoaji? for reminder kichwa cha habari kilikuwa ''RASHID OTHMAN:UMESHINDWA KAZI,JIUZULU YES I SAID IT''


Hoja nyingi katika mijadala hii zinaashiria jambo moja kuu la msingi ''HATUJUI KAZI HASA ZA USALAMA WA TAIFA, NA PIA HATUJUI IWAPO KAZI YAO IMEFANYIKA AU LA'' kwa vile mtindo wao wa kazi ni tofauti kidogo.

Nadhani hapo ndio kwenye msingi mkuu wa hoja kwa sasa, vinginevyo naona tutazunguka wee then tutarudi pale pale ''how do we know kuwa kazi imefanyika or not iwapo hatujui modalities ya kazi zao''...

Au tufanye mpango kama wana JF tupate insider wa kutumegea issue zote za ndani, kama tunajidai kuwa mabadiliko ya sasa nchini ni matokeo ya ''kumkoma nyani giladi hapa'' basi tutashindwaje kuwatambua usalama wa taifa na kuwaomba wachangie...tukifikia hapo kweli jf tutakuwa vidume!

KUMBUKA
Mavi hayana mwiba,lakini ukiyakanyaga tu lazima uchechemee hata kama ukivaa viatu..........

Ukisikia wivu wa kike ndio huu unaona wivu hadi koti la RO?
NADHANI angeanza kujiuzulu bosi wako(Mbowe).

Anyway naishauri serikali ikuache kwani una matatizo ya kisaikolojia, umeenda Marekani ukijua huko pesa zinaokotwa na Elimu inapatikana kijinga, matokeo yake huna elimu wala pesa rudi nyumbani, hizi chuki na watu baada ya kuona umeshindwa kufikia malengo yako hazitakusaidia.rudi mapema nenda Tumaini ukafanye digrii ni aibu kujitia Mwandishi wa habari huku huna elimu yeyote zaidi ya kushinda JF hapa.

ukirudi watu wanataka kujua una nini mfano una masters au pesa, kwa wewe huna jipya zaidi ya posts zako za JF.

Achana nao hawa wapuuzi.Mwanakijiji ni mjinga fulani ambaye hana kibali cha kuishi marekani kutokana na ugumu wa maisha na frustration alizonao amekuwa akiwachukia watu wa serikali au waliomzidi kielimu, machungu yake ya maisha anatuletea sisi badala ya kuwapelekea wa Marekani walionyima stay.

Whats your bloody point?
 
Kwani TID, Lady jaydee, Nature, Khadija Kopa, Kingwendu na wengine wanaletwa na RO? hii si hoja, kama alikuwa anawaleta mbona wanapatika na sasa? last week alikuwepo TID na Wamasai wamekuja.

hujui kama usalama wana wakurugenzi wa mambo ya ndani na nje? nadhani ungemuuliza APSON aliyekuwa mkurugenzi mkuu kwa kipindi hicho.

Njenje walipelekwa specifically kwa ajili ya harusi.......

Again argument sio wakurugenzi wa Internal na External Intel(nina uhakika hawa hawako stationed nje ya nchi)... bali RO kama Station Chief London alifanya nini wakati haya yote yanatokea?
 
frustrations za kina bi senti 50 ambao wanazungumza maneno kama vile wako kwenye always(mwezini).
wao walikuwa wapi kulizungumza hili uchaguzi wa 2005 kwani deal hii imetokea 2002. kama kulala wamelala wao wapinzani wa Chadema.

Mkuu hii ya Always ndio imekupa ban? pole sana. Mwambie senti 50 kuna free style nayo bomba.

namimi chichemi sana kwani nitafungiwa wenzetu kina Mwanakjj wako home ground sisi tuko away.
 
Mkuu hii ya Always ndio imekupa ban? pole sana. Mwambie senti 50 kuna free style nayo bomba.

namimi chichemi sana kwani nitafungiwa wenzetu kina Mwanakjj wako home ground sisi tuko away.

If thats the case, why can't you go to your home ground?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom