Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Piga simu, 0784 419030;
Cc 3940
Aircon
Cd changer,
Full tinted
Petrol
Km 138,000
Cc 3940
Aircon
Cd changer,
Full tinted
Petrol
Km 138,000
Mmh nisije kufa kwa ukimwi bureee ,gari kama hili ni kujitakia matatizo bure kutoka kwa akina dada wa mjini
Piga simu, 0784 419030;
Cc 3940
Aircon
Cd changer,
Full tinted
Petrol
Km 138,000
hivi mtaacha wizi lini ...hii gari CIF 3300 ushuru 4.2m wewe unauza 27m..kama unabisha nenda Japanese Used Cars | BE FORWARD ..uone..acheni wizi bwana
Heh heh we Kona bar mobileNakubaliana na wewe kabisa mkuu, kununua hili gari ni sawa na kununu Kona Bar ukawa unatembea nayo
Kwani umekabwa koo kununua, kule unakoona rahisi nenda huko ukanunue.hivi mtaacha wizi lini ...hii gari CIF 3300 ushuru 4.2m wewe unauza 27m..kama unabisha nenda Japanese Used Cars | BE FORWARD ..uone..acheni wizi bwana
Bei inaweza kuwa ndogo lakini ushuru wa sasa komesha!! Kwa hiyo usidanganyike na hiyo CIF value......
Tunarudishwa nyuma miaka ile ambayo mtu kuwa na gari alionekana kama ametoka sayari ingine. Haiingi akilini ununue gari chini ya Shs 4M halafu ulipe kodi shs 11m. Ni wizi wa waziwazi wa serikali na sasa soko la used la magari ya ndani ndilo litapanuka. Baada ya miaka michache ijayo nchi itabaki na magari ovyo ovyo machakavu tu kwani wachache wataweza kuagiza magari toka nje.Ushuru wa safari hii hakuna mtu kununua gari nje, eti hata kama ni used odometer inasoma 300000 ya 1995, ushuru wana anza kupigia bei ya lilipokuwa jipya! Hii ndo awamu ya nne-maisha bora kwa kila mtanzania!
Asante sana!!!Tunarudishwa nyuma miaka ile ambayo mtu kuwa na gari alionekana kama ametoka sayari ingine. Haiingi akilini ununue gari chini ya Shs 4M halafu ulipe kodi shs 11m. Ni wizi wa waziwazi wa serikali na sasa soko la used la magari ya ndani ndilo litapanuka. Baada ya miaka michache ijayo nchi itabaki na magari ovyo ovyo machakavu tu kwani wachache wataweza kuagiza magari toka nje.
Asante sana!!!
Mi nangoja tu mwaka kesho mwezi wa tatu!!!
Nitazichanga!!!