Car4Sale Prado 150 maarufu machozi for sale

mfetere

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
246
88
Prado machozi for sale
Bei Mil 90
Engine 2tr
Petrol
Automatic
Location Dar es salaam
Gari mpya sana haijarudiwa rangi kokote
Pigs simu ukaone Gari kwa serious buyer ukaongee nae
0714787795
IMG_0489.jpg

IMG_0495.jpg

IMG_0496.jpg

IMG_0491.jpg

IMG_0492.jpg

IMG_0493.jpg

IMG_0494.jpg

IMG_0489.jpg

IMG_0490.jpg
 
Prado machozi for sale
Bei Mil 90
Engine 2tr
Petrol
Automatic
Location Dar es salaam
Gari mpya sana haijarudiwa rangi kokote
Pigs simu ukaone Gari kwa serious buyer ukaongee nae
0714787795View attachment 2577241
View attachment 2577243
View attachment 2577244
View attachment 2577245
View attachment 2577246
View attachment 2577247
View attachment 2577248
View attachment 2577249
View attachment 2577250
Hiyo model ya mwaka 2007 uiuze 90m sijui madalali wa Dar mnashida gani mnaona watu wote wajinga au ni njaa zenu hiyo pesa naaguza Rangerover sports mbili mpya kutoka uingereza.
 
This is 2009 model, for 90 mil is very very expensive, usitegemee kuuza bei zaidi ya uliyonunulia

Kwa jinsi maisha yalivyobana, hii maximum around 40-44 mil mteja unapata.. 90 mil huwezi uza hata kidogo, kama huamini subiri uone na next year ukiuza hata 40 mil una bahati..

Range Rover Sports HSE ya 2011, 70,000- 90,000 km watu wanauza hadi 33 mil direct from UK, sasa linganisha na hii, kwa bei ya 90 mil nadhani unapoteza muda kabisa.
 
Prado machozi for sale
Bei Mil 90
Engine 2tr
Petrol
Automatic
Location Dar es salaam
Gari mpya sana haijarudiwa rangi kokote
Pigs simu ukaone Gari kwa serious buyer ukaongee nae
0714787795View attachment 2577241
View attachment 2577243
View attachment 2577244
View attachment 2577245
View attachment 2577246
View attachment 2577247
View attachment 2577248
View attachment 2577249
View attachment 2577250
You must’a been living in a cardboard box. Au tuseme una ukichaa fulani kuja na hiyo bei ambayo haiendani na thamani halisi ya bidhaa hata kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom