Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Ni ngumu sana ndio maana Pinda alisema hawa mafisadi wakikamatwa nchi itayumba...wewe waziri mkuu wa nchi anaongea hivyo mbele ya wananchi kuna kitu hapo?Aiseee! Sasa naona jinsi gani ilivyo ngumu kutenganisha CCM na UFISADI... maana hawa jamaa akina Madabida ndio wenyewe kwenye CCM