Manager
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 531
- 73
hakuna uhusiano wa madabida na ccm. Ingekuwa hivyo basi na slaa kwa kuwa ana masuala mazito ya ishu ya mke wake kuwa ni wa mushumbusi basi tuseme ni chama.tutofautishe taasisi na mtu binafsi
Hivi wizara ya Afya imeundwa na serikali ya CDM. Huwezi kumsafisha huyu kobe aitwaye CCM