Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Mama makinda akiwa na Mh rais wa Zanzibar
hii ni funzo kwa wabunge kama mdee na wengine wa chadema
Kwa nini kuiga utamaduni si wako?
Mama Ngoye is much more natursl.
Mnapenda sana Unafiki enhe! Kwahiyo hapo kavaa hijab basi roho kwatu!!! Hata akiibia nchi mamilioni nyie mwakoroma tu!
mbona shein havaaa baraghashia?