Habari zilizotufikia leo ni kwamba raisi wa serikali ya wanafunzi pale udom college of educutaion apelekwa trip nchini south africa, raisi huyo bwana machumu jose,ameambatana na spika wake bwana gambalesi na waziri wake wa ulinzi bwana Mtaki, wote wakitokea mkoa mmoja wa MARA! Safari hii inatokea huku wanafunzi zaid ya 20 wakiwa wametimuliwa chini ya utawala wake bila sababu za kina! kama hiyo haitoshi anasafiri ilhali wanafunzi wake waliochamgua wakiwa hawajapata bumu lao na wakiwa wakiishi katika hali ngumu sana