Wala hata hapendezie. Ila wewe unapendezea kweli na signature yako:OLE WAO FISI WAFUATAO NYAYO ZA SIMBA. Kwa nini umeamua kuwa fisi anayefuata nyayo za simba? Au wewe ndiye simba mwenyewe, unawaonea huruma fisi wanaofuata nyayo zenu ninyi simba. Kama ndivyo si unaona hata wewe mwenyewe unawaonea huruma. Haifai kabisa fisi kufuata nyayo za simba maana simba akimludi weeeeeee, na ndivyo kilivyo chama cha magamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.