zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Dar Es Salaam, Mbona unakwepa kutusaidia kufahamu tatizo la Rais wetu na badala yake unaanza ku-edit messages za watu? hapa kuna koma, pale kuna el hapa pawe hivi na unamaliza kwa mtindo wa jinsia ya aina fulani, kwamba ukizozwa wewe unaishia kuzomea.. Hiloooo! Oooo! yebaaa!
JF tunataka Uandike maoni yako kwa mada iliyoko mbele yetu. Hatujasema haleti maendeleo. Hatujasema hajafanya kitu, nk. Tatizo letu ni hotuba na aina ya maneno anayotumia ktk hotuba. Hata kama atatuletea kocha wa mpira kila mkoa kama kitendo cha maendeleo, bado hiyo siyo sababu ya kufurahia hotuba zilizopinda-pinda kwa uzembe wakati uwezekanao wa kuzionyoosha unaonekana.
Hotuba zake ni swaaafi sana hazina dosari, zinatoka moyoni sio kwenye karatasi za kuandikiwa, lipi zaidi ya hilo? au mmezowea kudanganywa-danganywa?