Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,806
- 28,470
Na wewe tukuuulize kwa nini NATO miaka na miaka inaikomalia UKrain na sio Nchi zengine zilizojirani na UrusiJamaa anafanya proganda kwa kiasi flani, kwani Ukraine ndiyo nchi pekee jirani na Rusia ambaye akitaka kujiunga na NATO?
RUSIA amekosea sana kumvamia Ukraine kwa ukweli, wakija kufanya analysisi wanaitangazia dunia kua walikosea sana.