FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,048
- 109,399
John Kirby, akiwa hapo jumba jeupe akijibu maswali ya waandishi wa habari kwa niaba ya Joe Biden, amekiri moto wa Hamas ni mkali na hawawezi kabisa kuzima, sio leo sio kesho. Kukiri huko kumewashtuwa sana serikali ya israel.
Mengine jionee mwenyewe:
Mengine jionee mwenyewe: