Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Afadhali honey hugombei manake wadada wangeanza kukukodolea mijicho. Njoo tumpigie debe Erickb52, akishinda ameahidi kutuletea treni la umeme!
Hahahaha unamcheka wajina eeh?
hah hah hahaaaa! wajina alinifanya nilikimbie jina langu kwa muda!
Jaman si unajua mimi "nagombewa!" Ndio maana jina langu halipo kwenye wagombea! lol....