Kongosho umeshaharibu unaona sasa...........................we ngoja nikutafutie timingi ya kukurushia kiti kizito.........
Lakini mi nimeomba kugombea ubodigadi wa mke wa rais.........hata hapo pia ni shida?
...yaaani TANMO mgombea...halafu. Preta msimamizi...uchaguzi utakua sio wa "HURU na HAKI"Kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa wana Chit chat.
Ibala ya 6, Kifungu cha 1, Jamuhuri hii lazima iwe na Rais, lakini hakuwepo kwa muda sasa.
Ni muhimu sasa tufanye uchaguzi. Wagombea ni Arushaone, Erickb52, @TANMO na Boflo.
Wasimamizi ni @Judgement, Kongosho, Mamndenyi na Preta. Naandaa daftari la wapigakula.
Tuwajadili wagombea kwanza.
Tena mbado sijarudi rasmi. Hapa network imenijia ghafla.
Baiiiiiii!!
mmmmmmh babuuuuuu
naomba kuwa naprovide vitu vyenye ncha kali, haswa kwa watakaopinga matokeo! ni kawaida ya ngozi nyeusi kuwa na ubishi! muongozo tafadhali!
Chagua mgombea unaempenda uwe mgombea mwenza wake.
Mwanyasi nadhani ukipitia uzi huu toka mwanzo utaona kuwa nimeshashinda! Ya mamiss si unaona Ruhazwe JR keshamaliza kaka?
dah,hizi chaguzi kila siku,ikifika wakati wa udiwani mnijulishe,nipiganie
Mwanyasi nadhani ukipitia uzi huu toka mwanzo utaona kuwa nimeshashinda! Ya mamiss si unaona Ruhazwe JR keshamaliza kaka?