chechekubwa
Member
- Nov 3, 2010
- 5
- 6
Habari za kuaminika ni kwamba atakaerithi mikoba ya jk 2015 ni sophia simba. Huyu mama ni shujaa na mpenda maendeleo sana. Ukimzingua anakupa za kichwa kwahiyo wadau tuanze kumkampenia ili apite bila kupingwa.
Habari za kuaminika ni kwamba atakaerithi mikoba ya jk 2015 ni sophia simba. Huyu mama ni shujaa na mpenda maendeleo sana. Ukimzingua anakupa za kichwa kwahiyo wadau tuanze kumkampenia ili apite bila kupingwa.
Habari za kuaminika ni kwamba atakaerithi mikoba ya jk 2015 ni sophia simba. Huyu mama ni shujaa na mpenda maendeleo sana. Ukimzingua anakupa za kichwa kwahiyo wadau tuanze kumkampenia ili apite bila kupingwa.
habari za kuaminika ni kwamba atakaerithi mikoba ya jk 2015 ni sophia simba. Huyu mama ni shujaa na mpenda maendeleo sana. Ukimzingua anakupa za kichwa kwahiyo wadau tuanze kumkampenia ili apite bila kupingwa.
Uchaguzi ndio tuu umemalizika hata aliyeapishwa kama Raisi hajamaliza kazi ya kuteua wasaidizi wake wakuu mfano makatibu wa wizara, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi. Ni mapema sana kubashiri mambo yatakayotokea miaka minne na nusu ijayo, pengine hata hiyo katiba mpya inaweza kuondoa ukomo wa miaka kumi ili kupunguza gharama za kuwahudumia maraisi wastaafu au kwa kuwa uchaguzi utafanyika kwa kufuata katiba mpya basi raisi aliyepo sasa akaruhusiwa kugombea kwa mara ya kwanza kwa mujibu wa katiba mpya
Habari za kuaminika ni kwamba atakaerithi mikoba ya jk 2015 ni sophia simba. Huyu mama ni shujaa na mpenda maendeleo sana. Ukimzingua anakupa za kichwa kwahiyo wadau tuanze kumkampenia ili apite bila kupingwa.
Nadhani wakati umefika sasa kwa new members kufanya aptitude test kabla ya kuwa registered ili IQ zao ziwe tested. Atlest tutaprotect our motto of " HOME OF GREAT THINKERS" Otherwise we will loose JF credibility.