Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,428
- 2,232
Wadau nawasabahi, nilitarajia Mabadiliko ya Viongozi yaliyofanywa na Mh RAIS jana yangeuhusu na MKOA wa RUKWA. Mkoa huu kwa sasa ni kama HAUNA MKUU wa MKOA tofauti na alipokuwepo yule MAMA aliyehamishiwa MANYARA kwani harakati za yule Mama za kuhimiza Maendeleo na Kutatua KERO za Wananchi zilikuwa zinaonekana Tofauti na MKUU wa MKOA wa sasa.
Ushauri kwa Mh RAIS hebu waangalie na Wananchi wa MKOA wa RUKWA wanahitaji Mkuu wa Mkoa MTENDAJI.
Ushauri kwa Mh RAIS hebu waangalie na Wananchi wa MKOA wa RUKWA wanahitaji Mkuu wa Mkoa MTENDAJI.