shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,454
- 2,359
Huu ni mwaka wa 6 sasa tangu wafanyakazi wa umma tulazimishwe kununua hisa za vodacom kwa lengo la kupata gawio kila mwaka.
Lengo lilikuwa zuri ila ni miaka mitatu hatujapata gawio. Mama Yetu Rais wetu Mpendwa sana tunaomba tusaidie turejeshewe hela zetu wengine tumeshastaafu kazi walau hizo hela zitusaidie kufanya mambo mengine ikiwemo kilomo ambacho tutapata faida kuliko kukaa tu kwa watu wachache kuzitumia kujilipa mishahara minono.
Ni mabilioni ya fedha yako mikononi mwao.
Tunaomba sana sana Mama na Rais wetu
Lengo lilikuwa zuri ila ni miaka mitatu hatujapata gawio. Mama Yetu Rais wetu Mpendwa sana tunaomba tusaidie turejeshewe hela zetu wengine tumeshastaafu kazi walau hizo hela zitusaidie kufanya mambo mengine ikiwemo kilomo ambacho tutapata faida kuliko kukaa tu kwa watu wachache kuzitumia kujilipa mishahara minono.
Ni mabilioni ya fedha yako mikononi mwao.
Tunaomba sana sana Mama na Rais wetu