Rais Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM-Taifa

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,571
2,201
IMG-20221113-WA0102.jpg


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Makao Makuu ya CCM (White House) jijini Dodoma.

IMG-20221113-WA0121.jpg


===
Makamu Mkt wa CCM -Taifa Upande wa Zanzibar Mhe Ally Mohamed Sheini akifurahia jambo na Mkt wake Ndg Samia Suluhu Hassan katika Ukumbuni wa Halmashauri Kuu Jijini Dodoma Leo,

IMG-20221113-WA0109.jpg


Katibu Mkuu wa ccm-taifa Ndg Daniel Chongolo ( Mtu wa Mungu) katika mawasilisho ya Agenda mbalimbali za kikao Mapema Leo katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma,

IMG-20221113-WA0110.jpg


Makamu Mkt wa ccm-taifa Ndg Abdurahman KINANA akitoa miongozo mbalimbali katika kikao Leo ikumbukwe pia Mzee KINANA ndio Mkt wa Nidhamu na Maadili ya Chama,

IMG-20221113-WA0104.jpg


Katibu wa Halmashauri Kuu NEC Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka akihutubia Mkutano Leo,ikumbukwe pia Shaka ndio Msemaji wa Chama cha Mapinduzi ( CCM )


IMG-20221113-WA0114.jpg


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Ramadhani akiteta jambo na Ndg Tulia Ackson na Majaliwa Majaliwa muda mfupi kabla ya kikao kuanza,

IMG-20221113-WA0113.jpg


Rais wa Zanzibar Mhe Hussein Mwinyi,Spika wa Bunge la JMT Dkt Tulia Ackson , Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe Hemed Ramadan ambao pia ni Wajumbe wa kamati Kuu na Halmashauri kuu Ccm-taifa wakiwa katika kikao Leo

IMG-20221113-WA0117.jpg

IMG-20221113-WA0115.jpg


Mwonekano thabiti wa Wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCM-TAIFA wakiendelea na kikao Mapema Leo,

Hakika hakuna kama CCM na hii ni kwa Africa nzima,

#Bila CCM imara nchi itayumba kila Mtanzania aiombee CCM.
 
Mungu awatangulie wajadili mambo bila unafiki wala chuki, watangulize masilahi ya wananchi mbele.
kazi iendeleeeee mbelee.
 
Jana Kamati Kuu (CC)

Leo Mchana Baraza (dharura)

Jioni leo; Halmashauri Kuu (NEC).

Ila kuna mtu hapo anaonekana hana amani kabisa
 
View attachment 2415544
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Makao Makuu ya CCM (White House) jijini Dodoma.
View attachment 2415546
View attachment 2415599
Makamu Mkt wa CCM -Taifa Upande wa Zanzibar Mhe Ally Mohamed Sheini akifurahia jambo na Mkt wake Ndg Samia Suluhu Hassan katika Ukumbuni wa Halmashauri kuu Leo,
View attachment 2415549
Katibu Mkuu wa ccm-taifa Ndg Daniel Chongolo katika mawasilisho ya Agenda mbalimbali za kikao Mapema Leo,
View attachment 2415553
Makamu Mkt wa ccm-taifa Ndg Abdurahman KINANA akitoa miongozo mbalimbali katika kikao Leo,

View attachment 2415555
Katibu wa Halmashauri Kuu NEC Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka akihutubia Mkutano Leo,
View attachment 2415557
Rais wa Zanzibar Mhe Hussein Mwinyi,Spika wa Bunge la JMT Dkt Tulia Ackson , Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar ambao pia ni Wajumbe wa kamati Kuu na Halmashauri kuu Ccm-taifa wakiwa katika kikao Leo
View attachment 2415570
View attachment 2415577
Mwonekano wa Wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCM-TAIFA wakiendelea na kikao Mapema Leo,

#Bila CCM imara nchi itayumba kila Mtanzania aiombee CCM.
CCM imara iliondoka na Nyerere iliyopo ni mkusanyiko wa wevi, wachawi... washarati na wanyanyanyi tuu ndio maana nchi inayumba!
 
Pamoja na CCM kuwa Chama kifanyacho Demokrasia kwa njia ya Mapinduzi miongoni mwa Viongozi wa Chama, kunaweza kukutikana watu ambao katika Imani zao za kisiasa-kiitikadi huelekea kufuata hasa maoni ya kibwanyenye uchwara ya kiburi Cha Utaifa.

Mwelekeo kama huu wa Viongozi pamoja na ushawishi wao juu ya uongozi wa Chama unao umuhimu mkubwa katika kuamua madhumuni na tabia za kisiasa za mwendo wa kusonga mbele kwa kufuata mwelekeo unaofaa hasa hapa kwetu Tanzania.

Maendeleo ya Mapinduzi yoyote yale hayapasi kukadiriwa kwa maana hiyo pekee ya ukuaji na ukamilikaji wa Imani za kisiasa miongoni mwa Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi.

Mapinduzi halisi huambata kwa lazima umma mkubwa sana wa watu watumiao jasho lao, na kufanikiwa kwa mwendo wake wa kusonga mbele hutegemea hasa juu ya kushirikiwa na kuungwa mkono vilivyo na umma huo.

Bila ya hayo, hatua zozote zile za Viongozi, na ziwe ni za KIMAPINDUZI na za KIJASIRI vipi, haziwezi kupelekea kokote kwingine, ila katika ubadilishaji wa ngazi za juu tu, jambo ambalo aghalabu huwa haliandamani na mabadiliko makubwa ya kisiasa ndani ya Jamii.

Chama Cha kisiasa kinabidi kuhakikisha kimatendo uwezo wake wa kuziongoza Jumuiya za umma mkubwa wa watu watumiao jasho lao wenyewe, mkiwemo vyama vya wafanyakazi, vijana wanafunzi, mashirika, n.k.

Jambo jingine lililopata umuhimu mkubwa katika nchi iliyochagua mwelekeo huu kama yetu linahusika na ushawishi wa Chama Cha kisiasa juu ya Majeshi.
 
Back
Top Bottom