kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 118
- 237
Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye kongamano la siku ya wanawake duniani ambalo limefanyika Moshi, Kilimanjaro na kuandalia na wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) amesema hakuna ambaye anakataa suala la katiba mpya hata chama chake kiko tayari kwa ajili ya katiba mpya.
"Suala la katiba hakuna anayelikataa, hata chama changu kimesema twende kwenye mabadiliko ya katiba. Hakuna anayelikataa lakini mdogo wangu Aikaeli anataka kasema juzi leo lifanyike. Mambo ni mengi ndani ya nchi hii lakini niwaahidi si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa ili wakanze kazi."-Rais Samia Suluhu
"Suala la katiba hakuna anayelikataa, hata chama changu kimesema twende kwenye mabadiliko ya katiba. Hakuna anayelikataa lakini mdogo wangu Aikaeli anataka kasema juzi leo lifanyike. Mambo ni mengi ndani ya nchi hii lakini niwaahidi si muda mrefu nitatangaza hiyo kamati kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa ili wakanze kazi."-Rais Samia Suluhu