T-pain
Member
- Nov 13, 2023
- 89
- 115
Kama uzi unavyosema hapo juu,
Rais Samia, kuna hawa watu wanaoendesha utaratibu mzima wa kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania (secretariat ya ajira), hawa wamekuwa tatizo kwa vijana wanaojitafuta kwenye Secta ya Ajira.
Haiwezekani mtu afanye usahili alafu akae zaidi ya miezi sita wakati mwingine zaidi ya mwaka bila kujua matokeo kama kafulu,kafeli au yupo kwenye kanzi data.
Mtu kama kafeli aambiwe tu not selected for job kama kwenye aptitude test wanazofanya mtu ajue atafanya nini.
unakuta kijana yeye kila siku ni kuingia kwenye mtandao mpaka anamaliza mwaka kuangalia matokeo halafu matokeo yenyewe wanatoa wanavyojiskia wenyewe, yaani mtu akikosa jina lake itabidi asubiri mpaka mwezi wakati sahili zinzfanywa kila siku na matangazo yanatolewa kila siku Wakome.
Rais Samia, kuna hawa watu wanaoendesha utaratibu mzima wa kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania (secretariat ya ajira), hawa wamekuwa tatizo kwa vijana wanaojitafuta kwenye Secta ya Ajira.
Haiwezekani mtu afanye usahili alafu akae zaidi ya miezi sita wakati mwingine zaidi ya mwaka bila kujua matokeo kama kafulu,kafeli au yupo kwenye kanzi data.
Mtu kama kafeli aambiwe tu not selected for job kama kwenye aptitude test wanazofanya mtu ajue atafanya nini.
unakuta kijana yeye kila siku ni kuingia kwenye mtandao mpaka anamaliza mwaka kuangalia matokeo halafu matokeo yenyewe wanatoa wanavyojiskia wenyewe, yaani mtu akikosa jina lake itabidi asubiri mpaka mwezi wakati sahili zinzfanywa kila siku na matangazo yanatolewa kila siku Wakome.