Rais Samia amesema hayati Mkapa ndiye aliyeinua uchumi wa nchi yetu baada ya kuishirikisha sekta binafsi kikamilifu
Rais Samia amesema unapotaka kuingia Uchumi wa nchi ushiriki wa sekta binafsi hauepukiki
Chanzo: ITV habari
..Mkapa bingwa wa uchumi?!
..hivi mnawajua Mawaziri wa Fedha na Uchumi waliohudumu ktk awamu ya 3?
..lakini huwezi kumsifia Mkapa ameinua uchumi bila kuwataja mawaziri wake waliomsaidia kazi hiyo.
..mimi kwa leo sitawataja.