Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,169
- 95,513
Endelea kujinyea basiNimewahi kuchungulia ndani uchaguzi 2020 kimsingi Mimi kupiga kura tume hii niujinga kama kujinyea hadharani.
Endelea kujinyea basiNimewahi kuchungulia ndani uchaguzi 2020 kimsingi Mimi kupiga kura tume hii niujinga kama kujinyea hadharani.
Nimekukosea nini kunitusi namna hii?Kazi kwenu wana ccm
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiNimekukosea nini kunitusi namna hii?
Sasa hv kampeni anagombea na nani?Muda kampeni huwa unaanza wakati uchaguzi mmoja unapoisha.
Hata wakati wa chama kimoja enzi za Nyerere kulikuwa na kampeniSasa hv kampeni anagombea na nani?
Mkuu kwanini kumeanzishwa jukwaa mpya la KigogoForum?Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Njaa naona imekupanda hadi kwenye medulla
ImekukataIlikuwa ya kuwafurahisha nyinyi machawa na makunguni wa ccm
Rais amishinda ndio Furaha yangu,kwani wewe unaempinga unafaidika na nini?Kwahiyo wewe utafaidika na nini?
Mimi sio mwanajukwaa au?Ndugu ujue hapa ni jukwaa la siasa hivyo basi wacha wana jukwaa watoe maoni yao
Kwahiyo tuko ktk kampeni?Hata wakati wa chama kimoja enzi za Nyerere kulikuwa na kampeni
Hata magufuri alikuwa na woga hata sijui ulitokana na nini maana nae wakati huo hata hakukuwa na upinzan wa kihivo sanaMpaka azime internet anamuogopa nani wakati Wapinzani wake wote mpaka sasa wapo hoi?
Labda tusubiri 2025 lakini kwa sasa Wapinzani wote wapo ndembendembe wamechoka
Atazima tu,ccm ni ile ile.Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Kama Tume huru ya uchaguzi haipo, Makada wa chama tawala ndiyo watangaza matokeo, na matokeo ya Rais hayapingwi mahakamani, mahakimu pia ni wateule wa Rais, Polisi nao ni waajiriwa wa mfumo huo huo, .........Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Mapema sana shwaaaJiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
kizimkaziJiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.
Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.
Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?
Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.
Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??
Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Mwezi mchanga tumekuzoeaEndelea kujinyea basi
Siku hizi usalama wa nchi ni kulinda majizi ya ccm!Tutaangalia maslahi ya taifa na usalama wa nchi. Hata jua litazimwa kama nchi itakuwa na sintofahamu ya kiusalama