Rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao?

Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Mkuu kwanini kumeanzishwa jukwaa mpya la KigogoForum?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka azime internet anamuogopa nani wakati Wapinzani wake wote mpaka sasa wapo hoi?
Labda tusubiri 2025 lakini kwa sasa Wapinzani wote wapo ndembendembe wamechoka
Hata magufuri alikuwa na woga hata sijui ulitokana na nini maana nae wakati huo hata hakukuwa na upinzan wa kihivo sana
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Atazima tu,ccm ni ile ile.
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Kama Tume huru ya uchaguzi haipo, Makada wa chama tawala ndiyo watangaza matokeo, na matokeo ya Rais hayapingwi mahakamani, mahakimu pia ni wateule wa Rais, Polisi nao ni waajiriwa wa mfumo huo huo, .........
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Mapema sana shwaaa
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
kizimkazi
 
Back
Top Bottom