Rais Samia Awasili Mbeya Kushiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima (NaneNane)

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya tarehe 07 Agosti, 2023.

WhatsApp Image 2023-08-07 at 15.26.29.jpeg




WhatsApp Image 2023-08-07 at 15.26.29 (1).jpeg

WhatsApp Image 2023-08-07 at 15.26.30.jpeg
 
Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?

Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.
 
Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?

Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Kwa hiyo dada yangu Tusekelege Erythrocyte yupo Mbeya kuongoza zomea zomea hiyo ?!!!

Usitutie WANYAKYUSA wote katika UJINGA NA UPUMBAVU wa utovu wa adabu na NIDHAMU....

Mkuu tuombe radhi kwani si wote wa kapu hilo la kutoheshimu tunu na ALAMA za taifa....

#MamaAnaupigaMwingi
 
punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.
 
Sidhani kama JPM aliwahi kuzomewa Mbeya akiwa rais. Katika maeneo walimkubalia JPM basi ni Mbeya.

Aliyezomewa ni Kikwete. Na sidhani kama watafanya hivyo kwa SSH. Ameipendelea sana mikoa ya nyanda za juu kusini. Kuna miradi mikubwa kadhaa amepeleka kule.
 
punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.
Kuna wakati watoto wabaki shule tu.
JPM hadi anafariki hakuipenda Mbeya hata kidogo kwani kuanzia kampeni zake za urais alikuwa akikutana na zomea zomea
 
Kuna wakati watoto wabaki shule tu.
JPM hadi anafariki hakuipenda Mbeya hata kidogo kwani kuanzia kampeni zake za urais alikuwa akikutana na zomea zomea
Tabia mbaya ilioje ya kuzomeana....sembuse kuizomea ALAMA kuu ya TAIFA?!!! Daah
 
Tabia mbaya ilioje ya kuzomeana....sembuse kuizomea ALAMA kuu ya TAIFA?!!! Daah
Mkuu, rais sio mtu ni taasisi.
Hata Marekani ambalo hulinda TUNU zao kwa gharama zoxote na eivu mkubwa lakini raisi huzomewa asipoenda sawasawa.
Zomea zomea ni aina ya kufikisha ujumbe japo dio ustaarabu.

Watawala wajifunze kuheshimu sauti ya waliowaweka pale vinginevyo kuzomewa ni haki yao kabisa
 
Back
Top Bottom