Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Kipenzi cha watanzaniaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya tarehe 07 Agosti, 2023.
View attachment 2711026
View attachment 2711025
View attachment 2711028
Kwa hiyo dada yangu Tusekelege Erythrocyte yupo Mbeya kuongoza zomea zomea hiyo ?!!!Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.
Kuna wakati watoto wabaki shule tu.punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.
Wazomee tu...Lazima wamchangamshe wana hasira naye
Kazi inaendelea
Kwasasa Wanyaki wako upande wa ndg yao Mwambukusi na sio mwingineLazima wamchangamshe wana hasira naye
Tabia mbaya ilioje ya kuzomeana....sembuse kuizomea ALAMA kuu ya TAIFA?!!! DaahKuna wakati watoto wabaki shule tu.
JPM hadi anafariki hakuipenda Mbeya hata kidogo kwani kuanzia kampeni zake za urais alikuwa akikutana na zomea zomea
Si wanyaki wote....Kwasasa Wanyaki wako upande wa ndg yao Mwambukusi na sio mwingine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya tarehe 07 Agosti, 2023.
View attachment 2711026
View attachment 2711025
View attachment 2711028
Mkuu, rais sio mtu ni taasisi.Tabia mbaya ilioje ya kuzomeana....sembuse kuizomea ALAMA kuu ya TAIFA?!!! Daah
Tumzomee ili iweje?Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Wazomee tu...
Kiongozi ni JALALA...
#Samia Kipenzi cha watanzania